Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 247
Nawashukuru wale wote walio changia thread yangu iliyokuwa na kichwa "Mtarimbo wangu umelala doro"
Wengi walinipa moyo na kunifariji, wengine walinikebehi, wengine walinidiriki kunitukana, nilivumilia, nikasamehe na kusau.
Kwa mawazo yenu nimejengeka imara, sasa nafurahia tendo, tena hata mpaka mara nne kwa usiku mmoja.
Nakumbuka Great Thinker BWABWA alidiriki kuniambia kuwa safari ya mimi kuwa shoga imewadia, nilivumilia, na niliyachukua yale maneno kama changamoto.
kila nikiwa kwenye dua yangu nilikuwa namwambia Mungu aniepushe na aibu ya uhanithi.
Mungu wetu hakika ni mkubwa kuliko shida zetu.
Nawapendeni Great Thinkers wote, mawazo yenu yalinipa nuru na mwanga kwenye kipindi kile kigumu cha mpito.
Naomba watu wakianika shida zao tusiwasimange wala kuwabeza.
Asanteni wote.
Wengi walinipa moyo na kunifariji, wengine walinikebehi, wengine walinidiriki kunitukana, nilivumilia, nikasamehe na kusau.
Kwa mawazo yenu nimejengeka imara, sasa nafurahia tendo, tena hata mpaka mara nne kwa usiku mmoja.
Nakumbuka Great Thinker BWABWA alidiriki kuniambia kuwa safari ya mimi kuwa shoga imewadia, nilivumilia, na niliyachukua yale maneno kama changamoto.
kila nikiwa kwenye dua yangu nilikuwa namwambia Mungu aniepushe na aibu ya uhanithi.
Mungu wetu hakika ni mkubwa kuliko shida zetu.
Nawapendeni Great Thinkers wote, mawazo yenu yalinipa nuru na mwanga kwenye kipindi kile kigumu cha mpito.
Naomba watu wakianika shida zao tusiwasimange wala kuwabeza.
Asanteni wote.