Nimepona

Sumbalawinyo

JF-Expert Member
Sep 22, 2009
1,282
247
Nawashukuru wale wote walio changia thread yangu iliyokuwa na kichwa "Mtarimbo wangu umelala doro"
Wengi walinipa moyo na kunifariji, wengine walinikebehi, wengine walinidiriki kunitukana, nilivumilia, nikasamehe na kusau.
Kwa mawazo yenu nimejengeka imara, sasa nafurahia tendo, tena hata mpaka mara nne kwa usiku mmoja.
Nakumbuka Great Thinker BWABWA alidiriki kuniambia kuwa safari ya mimi kuwa shoga imewadia, nilivumilia, na niliyachukua yale maneno kama changamoto.
kila nikiwa kwenye dua yangu nilikuwa namwambia Mungu aniepushe na aibu ya uhanithi.
Mungu wetu hakika ni mkubwa kuliko shida zetu.
Nawapendeni Great Thinkers wote, mawazo yenu yalinipa nuru na mwanga kwenye kipindi kile kigumu cha mpito.
Naomba watu wakianika shida zao tusiwasimange wala kuwabeza.
Asanteni wote.
 
Basi hongera kwa uvumilivu wako na kupona pia. Pia usizingatie ya BWABWA maana huenda anataka kupata wafuasi.
 
........ummmmmh that fast mzee? ungeiweka hii kule kwa JF Dr, na ueleze rejuvenation yako ilitokeaje, ingesaidia sana na wengine wenye shida kama yako.....!
 
EEEEEEEEh lovely!!!!!so ulifanya nn mpaka ukapona?tell us pls,tujue
 
Nawashukuru wale wote walio changia thread yangu iliyokuwa na kichwa "Mtarimbo wangu umelala doro"
Wengi walinipa moyo na kunifariji, wengine walinikebehi, wengine walinidiriki kunitukana, nilivumilia, nikasamehe na kusau.
Kwa mawazo yenu nimejengeka imara, sasa nafurahia tendo, tena hata mpaka mara nne kwa usiku mmoja.
Nakumbuka Great Thinker BWABWA alidiriki kuniambia kuwa safari ya mimi kuwa shoga imewadia, nilivumilia, na niliyachukua yale maneno kama changamoto.
kila nikiwa kwenye dua yangu nilikuwa namwambia Mungu aniepushe na aibu ya uhanithi.
Mungu wetu hakika ni mkubwa kuliko shida zetu.
Nawapendeni Great Thinkers wote, mawazo yenu yalinipa nuru na mwanga kwenye kipindi kile kigumu cha mpito.
Naomba watu wakianika shida zao tusiwasimange wala kuwabeza.
Asanteni wote.

Pamoja Kaka...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom