Nimepokea mesej kutoka kwenye kampuni siijui.

prakatatumba

JF-Expert Member
Oct 17, 2011
1,328
190
Habari yako ndugu ...........? Ofisi ya (Diamite International Company) inapenda kukupa nafasi ya kipekee, endapo utapendelea kutumia MUDA WAKO WA ZIADA kuweza kujiongezea kipato! Kama ndio, tafadhali tumia namba hii kupata maelekezo ya namna ya kufika ofisini kupata maelezo zaidi. 0713......... By Magdalena
 
Usije ukaingizwa town mchana kweupeee,maisha yamekua magumu sikuhizi watu ni wabunifu sana
 
Acha uoga, fuatilia huenda ukalamba bingo. Ila cheza nao kimachale huku na wewe ukichukua tahadhari muhimu kama vile usiwape your bank account information, password za tigo/voda pesa, dont send them any money for any purchase, etc..!
 
Habari yako ndugu ...........? Ofisi ya (Diamite International Company) inapenda kukupa nafasi ya kipekee, endapo utapendelea kutumia MUDA WAKO WA ZIADA kuweza kujiongezea kipato! Kama ndio, tafadhali tumia namba hii kupata maelekezo ya namna ya kufika ofisini kupata maelezo zaidi. 0713......... By Magdalena

Hapo pekundu hujamstukia huyo Magdalena
 
Acha uoga, fuatilia huenda ukalamba bingo. Ila cheza nao kimachale huku na wewe ukichukua tahadhari muhimu kama vile usiwape your bank account information, password za tigo/voda pesa, dont send them any money for any purchase, etc..!

hawajamaa wanaweza kuwa wale watembeza alo vera
 
Habari yako ndugu ...........? Ofisi ya (Diamite International Company) inapenda kukupa nafasi ya kipekee, endapo utapendelea kutumia MUDA WAKO WA ZIADA kuweza kujiongezea kipato! Kama ndio, tafadhali tumia namba hii kupata maelekezo ya namna ya kufika ofisini kupata maelezo zaidi. 0713......... By Magdalena

Kuwa makini.. Juzi kati hapa nilipata cimu inayofanana na hiyo.. Nikaambiwa niende pale Diamond nikaonane nao.. Nilimuuliza alienipigia amenijuaje akaniambia nimekuwa recommended na dada mmoja (wakataja na jina).. Nikawaambia ngoja nicheki na huyo dada kama kweli.. Nilipowaciliana nae akashangaa sana akasema hajawahi kuongea na mtu kuhusu mie..! Nadhani na wao waliona wamenikosa maana hawakunitafuta tena.. Cijajua sasa utapeli wao ungekuwa wa aina gani..Labda ambae ameshawahi kukumbana nao ana kwa ana atujuze hapa..
 
Kuwa makini.. Juzi kati hapa nilipata cimu inayofanana na hiyo.. Nikaambiwa niende pale Diamond nikaonane nao.. Nilimuuliza alienipigia amenijuaje akaniambia nimekuwa recommended na dada mmoja (wakataja na jina).. Nikawaambia ngoja nicheki na huyo dada kama kweli.. Nilipowaciliana nae akashangaa sana akasema hajawahi kuongea na mtu kuhusu mie..! Nadhani na wao waliona wamenikosa maana hawakunitafuta tena.. Cijajua sasa utapeli wao ungekuwa wa aina gani..Labda ambae ameshawahi kukumbana nao ana kwa ana atujuze hapa..

hawa jamaa wanataka kutumia ukosefu wa ajira ili wajinufaishe
 
Back
Top Bottom