google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,629
- 13,691
Mwanangu lijamaa limejazia hatari kama ni masix pack ndio yale basi yatakua masixty pack.Tajiri Mapesa wewe mtoto unazingua sana yani,umeshindwa hata kuokota mawe jamaa angu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawa mikono kwa sabuni kwa sekunde zisizopungua 20Habarini ndugu zangu.
Kweli ule msemo nilio ambiwa na mama ya kwamba kua uyaone mwanangu jana ndio nimeshuhudia.
Najua mnakumbuka hapa majuzi mnakumbuka nilikuja kuwaomba ushauri juu ya kabinti kakinyamwanga nilikotokea kukapenda na nikaahidi kukaposa.
Sasa bwana kumbe kale kabinti kalikua kanani zuga tu. Kumbe kalisha poswa na lijama fulani lina ma six pack limejazia ni balaa. Sasa kilicho nitokea jana mida ya usiku nilijuta kutaka kujaribu kumzini yule binti.
Nilichofanya nilikapigia simu kaje geto ili nikachakachue. Kabinti kalikubali kakajaa geto. Mwamba sikuchelewa nikaanza kukaandaa kabla hakajaanza usumbufu. Nikafanikiwa kukatoboa na kidole kwenye jii sport. Mara kakaanza kutoa vijisauti vya miguno. Nikakafunua kijisketi kwa juu. Nikaanza kukalamba mithili ya embe sindano. Kakaanza kutoa machozi huku kanacheka.
Basi niliendelea nakamchezo mpaka kalipo zidiwa. Kwa nguvu kaka nifungua zipu ya suruali kenyewe. Kaka chomoa pipi kijiti kakaanza kuifyonzafyonza pipi kijiti. Kalipo tosheka kakaizamisha ndani kenyewe.
Nilikua nimetulia nakasikilizia tu. Aise kakaanza kuvikata viuno. Kabinti ni kana vikataa viuno balaa. Kanagonga staili zote.
Wakati tupo robo tatu ya mchezo simu yake si ikaita. Kumbe lijamaa lake linapiga. Uko wapi niko kwa rafiki yangu mtaa wa jirani kabinti kalijibu. Kumbe lijamaa nililishapeleleza mwenendo mzima wa binti. Hivyo lilikukua linanijua na hadi napoishi. Na muda wakati linapiga simu lilikua kwa mlango likisikiliza machi nzima.
Mara likagonga mlango mara baada ya kushindwa kuvumilia. Basi kabinti kakaanza kutetemeka huku kameshika chupi mkononi. Nikakaambia kavae haraka ili kajifiche uvunguni. Ile tunachelewa jamaa likavunja mlango likizama ndani. Jamaa liliingia limekunja sura huku limeyatumbua macho utafikiri limebanwa kwa mlango.
Ile nalishangaa kwa hofu, mara nikapokea ngumi ya sikio. Nilihisi dunia inazunguka kwa kasi sanaa. Alafu nikawa nahisi kama vijisauti fulani vya mwangwi vinasikika hivi. Wakati naendelea kisikilizia maumivu nipokea goti moja la mdomoni ikifuatiwa na ngumi moja nzito ya uso. Wakati nautafuta mlango mara nikaongezwa kifutu kimoja cha shavu.
Baadaye niliuona mlango ndipo nilipofanikiwa kulichomoka. Kwa hiyo tangia jana nimetelekeza geto. Naogopa kwenda geto. Hata mawazo ya kwamba kuna corona na barakoa yalisha nitoka yaani.View attachment 1448586
Ahsanteni sana wakuuPole sana.
Nimeandaa shoka kabisa, lile lijama sio la kutumia beto.Wanaume muwe hata na bisibisi kwenu.
Mtu aliekuja kukuletea fujo eneo LAKO ndani ni muhalifu. Piga hata nyundo au bisibisi ya mkono.
Inaitwa self defence.
Sent using Jamii Forums mobile app