mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,038
- 35,910
We mzigua au mbondeiNi uchawi tumbo linajaa hewa na hupati choo wala hujambi
We mzigua au mbondeiNi uchawi tumbo linajaa hewa na hupati choo wala hujambi
Unatakiwa umpige bila yeye kujua yaani ghafla tu ndo anapona
Nipe majina yako matatu na jina la mama nikurushie zongo huko uliko utapata majibu...Unajuaje kuwa umepiga Zongo? Dalili za kuwa umepiga Zongo ni zipi, tofauti na hali ya kawaida ya mwili wako???
Arusha nako kuna mambo ya kisenge sana sometime!!!Nilihisi utakuwa Arusha wana huo mchezo balaa,nliteseka sana kipindi cha nyuma nkaenda kupewa dawa na baba mmoja hivi wa Kiarusha,ndo nkapona
Kwamba elimu yake ndiyo itakayoagua zongo au? Usichokijua haimaanishi hakipo.Huu uzi unahusu watu wenye elimu ndogo kuanzia std 7 tena ambao wanaishi uswahilini
Ila wewe uliyesoma ST FRANSIACO UK na ukija likizo unafikia kwa wazazi wako Masaki huwezi kuelewa kitu
😂😂Dah! Na kiwango changu chote cha ufahamu sijaweza kuelewa uzi huu unazungumzia nini. Naona wenzangu mmeelewa naomba mnisaidie kufafanua.
Ndio kiswahili chao hicho 😁😁Uko Tanga mkuu?
😂😂😂😂😂Nakumbuka Mpanda Katavi bibi alikuaga anakata bomba la mpapai anatuwekea kwenye njia ya haja kubwa.
Then anajaza dawa mdomoni anapulizia kwenye hilo bomba.
Maumivu yake, nilikua nalia sana.
Lakini baada ya hapo napona kabisa.
Jamani wasambaa wa Lushoto wana zongo hatari! Nilienda kwenye msiba huko Lushoto mfanyakazi mwenzangu alifiwa na mzazi wake nilipigwa zongo hilo matata nilikosa choo siku nne tumbo likajaa gesi baada ya hapo niliharisha sanamkuu sina hamu na wasambaa hawa wa lushoto walinipiga Zongo La Wiki Bila Mimi Kufahamu, Nkaokolewa Na Mwenyeji Wa Huku Kuwa Nimepigwa Zongo,
Wakati Ndo Mara Ya Kwanza Kulisikia Neno "ZONGO"
MTU anakuongelea vitu vibaya au vizuri. KunenewaKuhemewa matabano ndio kufanywa nini mkuu?
Hii lugha yetu kumbe ni pana sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kupigwa Zongo maana yake ni nini?Ninahitaji msaada wa kitaalamu juu ya hili tatizo kwani linanisumbua sana na pia linaweza kumpata mtu bila kujua kwani huwa katika mazingira usiyoweza kuyaona kwa macho.
Hivyo kwa mtu yeyote anayefaamu kautaalamu kakutegua afanye kweli kuokoa jahazi. Siku hizi kila kona ni mawindoni
Sent using Jamii Forums mobile app
ANHAAAmepigwa kilwaa
Mi nilidhani zongo ni Tanga tu, kumbe hadi Arusha Wana hiyo michezoArusha nako kuna mambo ya kisenge sana sometime!!!
Moshi pia na hata Babati wana huu ujinga sanaMi nilidhani zongo ni Tanga tu, kumbe hadi Arusha Wana hiyo michezo