Nimepigwa zongo wakati nikila chakula

...Unajuaje kuwa umepiga Zongo? Dalili za kuwa umepiga Zongo ni zipi, tofauti na hali ya kawaida ya mwili wako???
 
Huu uzi unahusu watu wenye elimu ndogo kuanzia std 7 tena ambao wanaishi uswahilini
Ila wewe uliyesoma ST FRANSIACO UK na ukija likizo unafikia kwa wazazi wako Masaki huwezi kuelewa kitu
Kwamba elimu yake ndiyo itakayoagua zongo au? Usichokijua haimaanishi hakipo.
 
mkuu sina hamu na wasambaa hawa wa lushoto walinipiga Zongo La Wiki Bila Mimi Kufahamu, Nkaokolewa Na Mwenyeji Wa Huku Kuwa Nimepigwa Zongo,
Wakati Ndo Mara Ya Kwanza Kulisikia Neno "ZONGO"
Jamani wasambaa wa Lushoto wana zongo hatari! Nilienda kwenye msiba huko Lushoto mfanyakazi mwenzangu alifiwa na mzazi wake nilipigwa zongo hilo matata nilikosa choo siku nne tumbo likajaa gesi baada ya hapo niliharisha sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom