ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
pombe niliwa nakunywa zamani, tangu nichague fungu lililojema sinywi tena kileo
Mhhhhhhhhhhhhhhhhh!
pombe niliwa nakunywa zamani, tangu nichague fungu lililojema sinywi tena kileo
Muda huu nikiwa nangoja basi ili nirudi nyumbani kutoka kazini mara nikamuona mke wa jirani yangu akija huku akiwa amenuna na kukunja sura.
Alikuwa anatembea kwa mwendo wa kasi kuelekea upande nilioko.
Aliponifikia, akanikunja shati na kuanza kunipiga vibao, nikiwa katika hali ya mshangao, watu waliokuwepo kituoni wakamshika, ndipo alipoanza kuporomosha matusi "mwacheni nimshikishe adabu, anampeleka mume wangu kunywa pombe na kumtafutia wanawake".
Watu wakamkokota, na mi nikawa naondoka kiunyonge tena kwa aibu, nyuma nilisikia watu wakisema umemkomesha nguruwe akome.
Dah... Kumbe unaweza kusingiziwa hivihivi kwa makosa ambayo hujafanya.
Lakini tunaambiwa shukuruni kwa kila jambo
Mhhhhhhhhhhhhhhhhh!
Muda huu nikiwa nangoja basi ili nirudi nyumbani kutoka kazini mara nikamuona mke wa jirani yangu akija huku akiwa amenuna na kukunja sura.
Alikuwa anatembea kwa mwendo wa kasi kuelekea upande nilioko.
Aliponifikia, akanikunja shati na kuanza kunipiga vibao, nikiwa katika hali ya mshangao, watu waliokuwepo kituoni wakamshika, ndipo alipoanza kuporomosha matusi "mwacheni nimshikishe adabu, anampeleka mume wangu kunywa pombe na kumtafutia wanawake".
Watu wakamkokota, na mi nikawa naondoka kiunyonge tena kwa aibu, nyuma nilisikia watu wakisema umemkomesha nguruwe akome.
Dah... Kumbe unaweza kusingiziwa hivihivi kwa makosa ambayo hujafanya.
Lakini tunaambiwa shukuruni kwa kila jambo
Pole Bujibuji ila huwezi jua alichoambiwa na mumewe unaweza kuta hajarudi nyumbani siku 3 na huyo mwanaume hakutegemea kuwa hizo habari zitakufikia sasa sijui atakuangalia je akikiuona..Duniani kuna mengindio aniingie kwa style ya udhalilishaji?
Duh! inasikitisha sana, sasa ina maana umekubali tuhuma hizo? huoni ingekuwa ni busara kwenda kwa rafiki yako na kujadili juu ya fedheha hiyo uliyofanyiwa na mkewe?
Mimi hapa sielewi kabisa, yaani mke anaweza kuamini kabisa kuwa mumewe ambaye ni mtu mzima na akili zake timamu kwamba anaweza kushawishiwa na watu au mtu fulani kufanya jambo bila utashi wake! basi huyo hafai kuitwa mume kwani akili zake ni za kushikiwa na haiyumkini inaweza ikatokea akashawishiwa kuwa shoga na akakubali...........
Muhoji mumewe; yawezeka alaikwidwa kama wewew na kuona kwamba ajitete kuwa weye ndio chanzo ku save kipigo!
Muda huu nikiwa nangoja basi ili nirudi nyumbani kutoka kazini mara nikamuona mke wa jirani yangu akija huku akiwa amenuna na kukunja sura.
Alikuwa anatembea kwa mwendo wa kasi kuelekea upande nilioko.
Aliponifikia, akanikunja shati na kuanza kunipiga vibao, nikiwa katika hali ya mshangao, watu waliokuwepo kituoni wakamshika, ndipo alipoanza kuporomosha matusi "mwacheni nimshikishe adabu, anampeleka mume wangu kunywa pombe na kumtafutia wanawake".
Watu wakamkokota, na mi nikawa naondoka kiunyonge tena kwa aibu, nyuma nilisikia watu wakisema umemkomesha nguruwe akome.
Dah... Kumbe unaweza kusingiziwa hivihivi kwa makosa ambayo hujafanya.
Lakini tunaambiwa shukuruni kwa kila jambo