Kwakuwa uliijua familia ya huyo jamaa na ukaamua kushiriki moja kwa moja kumtorosha huyo mke, itabidi wewe uzibe pengo aliloacha huyo mke huku ukiwa tayari kupata hasara ya hiyo laki mbili yakoVipi sasa mkuu
ivi unaelewa kwamba mimi sikushiriki moja kwa moja mana ye alisema nimtafutie mtu wa kununua vitu kosa ni mmi kununua..Kwakuwa uliijua familia ya huyo jamaa na ukaamua kushiriki moja kwa moja kumtorosha huyo mke, itabidi wewe uzibe pengo aliloacha huyo mke huku ukiwa tayari kupata hasara ya hiyo laki mbili yako
Sio shamba, nitauza hata nchi kwa kesi ya pipi. Kwanini? Sababu ya principles, na hapa ndipo wazungu wanatushinda, mfano Ukraine anavyopigana na Russia, hata akishindwa, kuna principle anaitetea, kwamba Ukraine ni Sovereign nation, hata siku nyingine, atakaetaka kuivamia atatafakari mara mbilimbili, hata kama ana nguvu kiasi gani.unauza shamba upige kesi ya jogoo haya bhana
nakubaliiSio shamba, nitauza hata nchi kwa kesi ya pipi. Kwanini? Sababu ya principles, na hapa ndipo wazungu wanatushinda, mfano Ukraine anavyopigana na Russia, hata akishindwa, kuna principle anaitetea, kwamba Ukraine ni Sovereign nation, hata siku nyingine, atakaetaka kuivamia atatafakari mara mbilimbili, hata kama ana nguvu kiasi gani.
Lakini si ulijua lengo la kuuza vitu ni ili tu ipatikane hela ya kutorokea? Sasa unakataa nini?ivi unaelewa kwamba mimi sikushiriki moja kwa moja mana ye alisema nimtafutie mtu wa kununua vitu kosa ni mmi kununua..
duuh! wamekaa kimtego mtego unaeza enda ma manzi alafu akakuuza tena kwa jamaake kabla hujala unababwa unaambiwa toa jiwe traa au upakaliwe mafuta unapigwa tena mpungaaa..