Nimepigwa na kitu kizito! Nimehudumia mtoto mwaka mzima kumbe sio wakwangu

Pole sana ongwise..kwakua baba mtoto naye ni msukuma mwenzio usiwaze lea tu tena Minza ni mtoto wa kike akikua utaoza utapata mangombe..amapole kagibhochaga ongwise.

#MaendeleoHayanaChama
Nigwaga bhabha jiwe angavu: MUNGU akulamye, thule hamo.
 
kwanza tuliza hasira pia shida haziishi mkuu, huyo dada atakutafuta badae akusumbue.....

Kama balele angekuwa anampenda na kumthamini asingeacha kuhudumia [kulingana na maelezo] maana inawezakana huyo dada alikuwa anawapiga hela wote wawili alafu hela yako anarudishia mwili na kujizawadia vijizawadi.....

Be strong enough kuachilia hiyo chuki na kupotezea kama huwajui
Ila kweli mkuu Asamte kwa faraja
 
Pole sana Bro, kuwa na kadi mbili inawezekana kabisa sababu clinic nyingi wanakupa kadi yao ukatoe copy sasa yeye itakuwa alitoa copy mbili za kimkakati.
yaani bint mdogo anakua na hakir nyingi namna hii je akiwa mmama itakueje yaani
 
Naenda kwenye maada,, stak kupoteza mda wakuu,,

Naumia sana tena inauma
Nimehudumia mimba mpaka kujifungua mbaya zaidi mtoto akafikia mwaka na miezi sita ndipo nikabaini mtoto sio wakwangu

iko hv, nlikua kwenye mahusianono na binti alivyobeba ujauzito akafukuzwa kwao nilitumia gharama nyingi ili isjulikane nikapoteza kazi nilionayo, tukayajenga nilee mimba nikaendelea kulea mpaka alivyo jifungua mtoto wa kike, nikampa jina mtoto kwa jina la mama yangu mzazi (MINZA) kwakua ndio mtoto wangu wa kwanza,

Juzi nmeshinda bila kula nilivyogundua minza sio mtoto wangu

Ukatili niliofanyiwa Alikua akienda kilinic kadi ya kilinic kaandika jina jingine na baba mwingine, akitoka huko ana kadi nyingine sijui kaitoa wapi, anakopi yaliyoandikwa huko anajaza kwenye kadi ile yenye jina nililompa mtoto, kawaida yake kila akitoka huko clnc ananiletea kadi naiona,

kilichotokea, nimepanga nyumba moja na nesi mmoja akaniuliza mtoto wako ESTA anaendeleaje? nkamwambia haitwi esta bali anaitwa MINZA akaniuliza mbona kwenye kadi mmeandka ESTA BALELE ambalo jina la balele sio lakwangu aisee tulibshana, akaniambia siku wakija klnc atazizuia kadi ili anitoe ubishi nikamhakikishia haiwezi kua hivyo sababu kadi naijua ina jina langu

Juzi nimeiona kadi ina jina jingne la mtoto baba babu,, ikabidi nimpigie simu tukutane ilipofka jioni akaja, nlimuuliza neno moja tu, niambie MINZA ni mtoto wangu au sio wangu sema ukwel najua kila kitu na balele ni nani, binti akaanza kulia akasema sio mtoto wangu ni mtoto wa balele, nilipwatwa hasira nilimpiga

niliona haisaidii nitamuumza na mpaka sasa sina cha kufanya ghalama nilizowekeza ni nyingi mno naumia mwenye mtoto alikua hahudumii nifanyeje jamani mtoto alikua anakesha usiku analia nahangaika,

Naitaji faraja.


Yuda exalioth
natumia jamiiforums
karibuni Geita.
After this utakua more stronger.....haya ndio maisha....

Nimefurahi unaweza ku measure & evaluate

Kumpiga au kumuua it's not a solution....

Duniani kuna usaliti mwingi trust yourself.....Live,Fear & Die.

Welcome home,
 
Naenda kwenye maada,, stak kupoteza mda wakuu,,

Naumia sana tena inauma

Nimehudumia mimba mpaka kujifungua mbaya zaidi mtoto akafikia mwaka na miezi sita ndipo nikabaini mtoto sio wakwangu

iko hivi, nilikuwa kwenye mahusiano na binti alivyobeba ujauzito akafukuzwa kwao, nilitumia gharama nyingi ili isijulikane nikapoteza kazi nilionayo, tukayajenga nilee mimba nikaendelea kulea mpaka alivyojifungua mtoto wa kike, nikampa jina mtoto kwa jina la mama yangu mzazi (MINZA) kwakuwa ndio mtoto wangu wa kwanza,

Juzi nmeshinda bila kula nilivyogundua minza sio mtoto wangu

Ukatili niliofanyiwa alikuwa akienda kliniki kadi kaandika jina jingine na baba mwingine, akitoka huko ana kadi nyingine sijui kaitoa wapi, anakopi yaliyoandikwa huko anajaza kwenye kadi ile yenye jina nililompa mtoto, kawaida yake kila akitoka huko ananiletea kadi naiona.

Kilichotokea, nimepanga nyumba moja na nesi mmoja akaniuliza mtoto wako ESTA anaendeleaje? nikamwambia haitwi Esta bali anaitwa MINZA akaniuliza mbona kwenye kadi mmeandka ESTA BALELE ambalo jina la Balele siyo la kwangu aisee tulibshana, akaniambia siku wakija kliniki atazizuia kadi ili anitoe ubishi nikamhakikishia haiwezi kuwa hivyo sababu kadi naijua ina jina langu

Juzi nimeiona kadi ina jina jingne la mtoto baba babu,, ikabidi nimpigie simu tukutane ilipofika jioni akaja, nilimuuliza neno moja tu, niambie MINZA ni mtoto wangu au sio wangu sema ukweli najua kila kitu na Balele ni nani, binti akaanza kulia akasema sio mtoto wangu ni mtoto wa Balele, nilipwatwa hasira nilimpiga

Niliona haisaidii nitamuumiza na mpaka sasa sina cha kufanya gharama nilizowekeza ni nyingi mno naumia mwenye mtoto alikuwa ahudumii.

Nifanyeje jamani mtoto alikuwa anakesha usiku analia nahangaika,

Nahitaji faraja.


Yuda exalioth
natumia jamiiforums
karibuni Geita.
Hawa kina Mayombi, Balele shida sana
 
After this utakua more stronger.....haya ndio maisha....

Nimefurahi unaweza ku measure & evaluate

Kumpiga au kumuua it's not a solution....

Duniani kuna usaliti mwingi trust yourself.....Live,Fear & Die.

Welcome home,
thanks kaka but i tried to cope with my frustrations
 
49 Reactions
Reply
Back
Top Bottom