Nimepigwa na kitu kizito! Nimehudumia mtoto mwaka mzima kumbe sio wakwangu

komaa mtoto mpaka hapo ni wako hata kama ukweli ushaujua lakini komaa mtoto ni wako,huyo mwanaume alikua wapi kipindi chote kwanini kama alijua ni wake hakumpelekea alee mwenyewe mimba au kwanini hakutokea mapema akachukua mzigo wake mapema mimba ilivogundulika kabla hujaharibu gharama zako? asikuzingue haijalishi damu sio yako lakini komaa na huyo mtoto mpaka awe wako
Nimeelewa mkuu ila nina wivu mno kwanza tu kusikia mtoto sio wangu akati nilikua najua nmimi nimetundika aiseee

Asante kwa ushauri wako pia naheshimu mawazo yako
 
Hapana wala sikutaka kudai chchte yy alinieleza mkasa mzima ulivyokuwa wakat anatoka nae alikuwa fresh financially na wakat huo hata mm nlikuwa napiga japo nilipiga mara moja tu maana nlikuwa sikai huko nlienda likizo ya mwisho wa mwaka sasa mpaka anapata mimba na kuja kujifungua jamaa aliyumba sanaaa kiuchumi ndo sababu ya demu kuhamisha mzigo kwangu. Ila binafsi piabnilifanya uzembe kwa kutochunguza sanaaa hilo swala nilikubali tu direct maana sikuona ni issue kubwa ukizingatia nlikuwa na uwezo wa kulea mtoto
Okay
 
Dah kujua tu dem amesalitu ni ngumu kuendelea nae,kupewa kitumbo kabisaaa

Una moyo sana.
Ndungu yangu Zeus1 nilikua nayasikia kwenye redio tu yamenipata sina ujanja yaitaji moyo sana naujasiri kuzipokea taarifa kama hizi

tayari mtoto alikua amepata jina la mama yaaani mmh
 
Ndungu yangu Zeus1 nilikua nayasikia kwenye redio tu yamenipata sina ujanja yaitaji moyo sana naujasiri kuzipokea taarifa kama hizi

tayari mtoto alikua amepata jina la mama yaaani mmh
Mkuu pole sana , kwakweliiii inauma sana asee. Ila jipige kifuan mwambie mungu nataka kusonga mbele
 
Naenda kwenye maada,, stak kupoteza mda wakuu,,

Naumia sana tena inauma

Nimehudumia mimba mpaka kujifungua mbaya zaidi mtoto akafikia mwaka na miezi sita ndipo nikabaini mtoto sio wakwangu

iko hivi, nilikuwa kwenye mahusiano na binti alivyobeba ujauzito akafukuzwa kwao, nilitumia gharama nyingi ili isijulikane nikapoteza kazi nilionayo, tukayajenga nilee mimba nikaendelea kulea mpaka alivyojifungua mtoto wa kike, nikampa jina mtoto kwa jina la mama yangu mzazi (MINZA) kwakuwa ndio mtoto wangu wa kwanza,

Juzi nmeshinda bila kula nilivyogundua minza sio mtoto wangu

Ukatili niliofanyiwa alikuwa akienda kliniki kadi kaandika jina jingine na baba mwingine, akitoka huko ana kadi nyingine sijui kaitoa wapi, anakopi yaliyoandikwa huko anajaza kwenye kadi ile yenye jina nililompa mtoto, kawaida yake kila akitoka huko ananiletea kadi naiona.

Kilichotokea, nimepanga nyumba moja na nesi mmoja akaniuliza mtoto wako ESTA anaendeleaje? nikamwambia haitwi Esta bali anaitwa MINZA akaniuliza mbona kwenye kadi mmeandka ESTA BALELE ambalo jina la Balele siyo la kwangu aisee tulibshana, akaniambia siku wakija kliniki atazizuia kadi ili anitoe ubishi nikamhakikishia haiwezi kuwa hivyo sababu kadi naijua ina jina langu

Juzi nimeiona kadi ina jina jingne la mtoto baba babu,, ikabidi nimpigie simu tukutane ilipofika jioni akaja, nilimuuliza neno moja tu, niambie MINZA ni mtoto wangu au sio wangu sema ukweli najua kila kitu na Balele ni nani, binti akaanza kulia akasema sio mtoto wangu ni mtoto wa Balele, nilipwatwa hasira nilimpiga

Niliona haisaidii nitamuumiza na mpaka sasa sina cha kufanya gharama nilizowekeza ni nyingi mno naumia mwenye mtoto alikuwa ahudumii.

Nifanyeje jamani mtoto alikuwa anakesha usiku analia nahangaika,

Nahitaji faraja.


Yuda exalioth
natumia jamiiforums
karibuni Geita.

Da Pole Sana mkuu nchi amani imezidi sana ujinga unakuwa mwingi … achana nae pita vile maana ukimuwaza sana unaweza ukawa mfuasi wa kina adolf hitler, mwisho wake hua sio mzuri …. assume umelost…. tunapoteza vingapi unawekeza kwenye biashara unapoteza .. una mov on unajaribu kwengine da…..AMANI ILIYOPITILIZA UJINGA UNAKUA MWINGI DAAH poOole sana
 
Mkuuu toa neno la faraja 🤣🤣
Sina cha ziada ambacho wengine hawajasema. Zaidi akubaliane na matokeo tu ndio lyfe style ya dunia tuliopo sio yeye tu ndio mwathirika wa hilo jambo. Naweza sema ' tupo wengi kwenye mtego kama wake' na wengine hajapana kung'amua ukweli unaowazunguka wanaishi kwenye uhalisia fake.Na inauma sana unapojua maisha uliyokuwa ukiishi ni fake. Bora kutokujua tu uhalisia. Nampa pole mshkaji hapo.

Jamaa ni kama alikuwa uchi mda wote huo na anajiona kavaa fresh na kuringa mbele ya jamii, jamii kwa unafiki mkubwa wengi wao wakijua jamaa hajavaa chochote ila walimnafikia kuwa kapendeza sana. Sasa hivi ndio kama kaamka na kugundua alikuwa ananafikiwa mda wote huo hata na mtu wake aliyemwamini sana.
 
Naenda kwenye maada,, stak kupoteza mda wakuu,,

Naumia sana tena inauma

Nimehudumia mimba mpaka kujifungua mbaya zaidi mtoto akafikia mwaka na miezi sita ndipo nikabaini mtoto sio wakwangu

iko hivi, nilikuwa kwenye mahusiano na binti alivyobeba ujauzito akafukuzwa kwao, nilitumia gharama nyingi ili isijulikane nikapoteza kazi nilionayo, tukayajenga nilee mimba nikaendelea kulea mpaka alivyojifungua mtoto wa kike, nikampa jina mtoto kwa jina la mama yangu mzazi (MINZA) kwakuwa ndio mtoto wangu wa kwanza,

Juzi nmeshinda bila kula nilivyogundua minza sio mtoto wangu

Ukatili niliofanyiwa alikuwa akienda kliniki kadi kaandika jina jingine na baba mwingine, akitoka huko ana kadi nyingine sijui kaitoa wapi, anakopi yaliyoandikwa huko anajaza kwenye kadi ile yenye jina nililompa mtoto, kawaida yake kila akitoka huko ananiletea kadi naiona.

Kilichotokea, nimepanga nyumba moja na nesi mmoja akaniuliza mtoto wako ESTA anaendeleaje? nikamwambia haitwi Esta bali anaitwa MINZA akaniuliza mbona kwenye kadi mmeandka ESTA BALELE ambalo jina la Balele siyo la kwangu aisee tulibshana, akaniambia siku wakija kliniki atazizuia kadi ili anitoe ubishi nikamhakikishia haiwezi kuwa hivyo sababu kadi naijua ina jina langu

Juzi nimeiona kadi ina jina jingne la mtoto baba babu,, ikabidi nimpigie simu tukutane ilipofika jioni akaja, nilimuuliza neno moja tu, niambie MINZA ni mtoto wangu au sio wangu sema ukweli najua kila kitu na Balele ni nani, binti akaanza kulia akasema sio mtoto wangu ni mtoto wa Balele, nilipwatwa hasira nilimpiga

Niliona haisaidii nitamuumiza na mpaka sasa sina cha kufanya gharama nilizowekeza ni nyingi mno naumia mwenye mtoto alikuwa ahudumii.

Nifanyeje jamani mtoto alikuwa anakesha usiku analia nahangaika,

Nahitaji faraja.


Yuda exalioth
natumia jamiiforums
karibuni Geita.
Kamanda samahani nikuulize maswali kadhaa.

1. Je,huyo mwanamke umemtolea barua, mahari?

2. Je, ni wakati gani,hatua za awali tu za mimba,kabla ya kujifungua,baada ya kujifungua?

3. Je,mila zenu zikoje kama wote ni wasukuma,mama mtoto, na ninyi baba wawili?

4. (a) Je, nyakati zote kuna namna mtoto katumia tiba na misingi yoyote ya desturi zenu hasa ukoo wako?
(b) Hivyo je,endapo kuna desturi zako umetumia kwa mtoto desturi za kabila lenu zinasemaje katika yote sambamba taaratibu za umiliki wa mtoto ikiwemo fine na etc?

5. (a) Je, msukumo wa mwanamke kuyafanya haya clinic umetoka wapi, ni yeye,ni ushawishi wa sasa wa Balele?na (b) je, ushawishi huu wa Balele ni ubora wa kiuchumi alionao sasa,kwamba anakuzidi wewe? (c) Je, ipo namna pia kwamba toka mwanzo ni msanii kwako na hakuwa na hisia kabsa ila ni kwa sabb ya kuhudumiwa tu ndio akaja kwako?

Mungu akutie nguvu sana.
 
Mwache Binti na mwanae alafu ruhusu FURAHA na amani uliyoyafanya yote ona ni msaada na MUNGU atakulipa
Alafu maisha acha yaendelee
 
Da Pole Sana mkuu nchi amani imezidi sana ujinga unakuwa mwingi … achana nae pita vile maana ukimuwaza sana unaweza ukawa mfuasi wa kina adolf hitler, mwisho wake hua sio mzuri …. assume umelost…. tunapoteza vingapi unawekeza kwenye biashara unapoteza .. una mov on unajaribu kwengine da…..AMANI ILIYOPITILIZA UJINGA UNAKUA MWINGI DAAH poOole sana
Asante mkuu
 
kwakua umeshajua huyo sio mtoto wako unapaswa kuwa na amani, achana na huyo demu ila unaweza kuendelea kumsaidia mtoto unapopata nafasi, mimi kuna demu nilikua nimepanga nae nyumba moja akapata ujauzito nilikua simjui bwana ake, ila baada ya muda nikawa namuona demu kawa mnyonge nikimsalimia sio mchangamfu kama zamani, weekend moja nimeshinda nyumbani na huyo dada alikuwepo nikawa nimejipikilisha pale nikamkaribisha jirani njoo tule dada wa watu akaja tukaanza kula kwenye stori nikamuuliza mbona umekua mnyonge sana siku hizi au ndio mimba inakupelekesha? akaninijibu napitia mazito sana najikaza tu! nikamuuliza kwani jamaa yako yuklo wapi? akajibu ww acha tu basi na mimi nikaachana na hizo stori tukaendelea na stori zingine, ni dada flani charming hana mambo mengi sana, siku moja nikamwambia mimba ishakua kubwa hiyo inabidi usimame kwenda kazini usije kufia huko siku moja akaninibu nikisimama kazi kampuni zenyewe za wahindi hizi nitakuala nini? nikauliza kwani mwamba hakusaidii? akasema amekana mimba na nimejaribu kuongea nae sana lakini haelewi nimeamua nikomae mwenyewe nitamlea mwanangu haina shida, basi maisha yaliendelea nikawa namsaidia ninapoweza hadi ikafikia majirani wakawa wanahisi namgonga yule demu, siku za kujifungua zilipokaribia nikamwambia fanya mpango uende kwenu maana hapa unahisi ukijifungua nani atakua anakusaidia? demu akakubari nikamkatia tiketi akaenda kwao arusha akajifuangua baada ya muda alirudi mtoto ameshachangamka ila mimi nilikua nishahama ile nyumba, kiukweli huwa nahisi yule mtoto kama wangu na sijawahi kmla mama yake na sina mpango ni mshkaji tu na yeye anajua hivyo, nakushauri na wewe mchukulie huyo mtoto kama wako japo sio biological huwezi jua nini kitatatokea mbeleni haya maisha tu!
 
Back
Top Bottom