Biligeti acha uchokozi bana. Huyu ni Baba MLEZI wa Minza, halafu Esta ndio mtoto wa BaleleDuh pole baba Minza.
Mlichukua vipimo vya DNA?
Je jina ndiyo huthibitisha kwamba huyo mtoto ni wako au siyo wako?
Kwa nini wasomi wa siku hizi hamna akili?
kuna cheti cha kuzaliwa ambacho dio inatumika kama kadi ya kilinic so huyu binti alikua na vyeti viwili kimaoja kinajina la ESTA BALELE ambayo ilikua inatumiwa kuendea kilinic, akishatoka kilinic kuna kadi nyingine aliyoinunua kwa mambo yake ina jina la MINZA E. YUDA, ambayo akitoka kilinic anakopi yaliyoandikwa na nesi na kuhamiahia kwenye hiyo kadiJamaa alishindwa fatilia hata cheti cha kuzaliwa.? Hii ni chai ️
Hapana wala sikutaka kudai chchte yy alinieleza mkasa mzima ulivyokuwa wakat anatoka nae alikuwa fresh financially na wakat huo hata mm nlikuwa napiga japo nilipiga mara moja tu maana nlikuwa sikai huko nlienda likizo ya mwisho wa mwaka sasa mpaka anapata mimba na kuja kujifungua jamaa aliyumba sanaaa kiuchumi ndo sababu ya demu kuhamisha mzigo kwangu. Ila binafsi piabnilifanya uzembe kwa kutochunguza sanaaa hilo swala nilikubali tu direct maana sikuona ni issue kubwa ukizingatia nlikuwa na uwezo wa kulea mtotoMliyajengeje huyo msela gharama alirudisha au
Akomae ili kitokee nini acha kumpotosha mwambakomaa mtoto mpaka hapo ni wako hata kama ukweli ushaujua lakini komaa mtoto ni wako,huyo mwanaume alikua wapi kipindi chote kwanini kama alijua ni wake hakumpelekea alee mwenyewe mimba au kwanini hakutokea mapema akachukua mzigo wake mapema mimba ilivogundulika kabla hujaharibu gharama zako? asikuzingue haijalishi damu sio yako lakini komaa na huyo mtoto mpaka awe wako
najikuta nafuta kila ninachotaka kuandika.Akomae ili kitokee nini acha kumpotosha mwamba
Huyo mtoto ni mwana Bujibuji. Punguza hasira nali nsumba ntale wako
Mwenyewe kuna demu kajifungua juzi tunahudumia wawili koo sikutaka hata kuuliza jina la kadi.
Koo hapo mmoja lazima atalia badae mm au mwenzangu
Namshukuru mungu maisha yanaendelea pia nakushukuru mkuu kwa ushauri wako Asante sana,Pole sana mkuu. Kwenye maisha kuna mapito mengi sana. Hilo linaweza kuwa nidogo kwa yajayo. Kikubwa ni kumsamehe aendelee na maisha yake na we uendelee na yako. Next time utakua makini. Mungu akusaidie
Unanichekesha kunitoa mawazo pia unatoa ushauri nashukuru sana kwa maoni yako asanteHapo ulimwacha aliyekuwa anakupenda kwa dhati na kumpa sifa zote msichana mwenye ujauzito wako haa haa haa pole, wewe achana naye isije siku mkaanza kugombana mkakadondokea katoto ka Balele