Nyati
JF-Expert Member
- Mar 6, 2009
- 2,489
- 1,813
Hii system ina mapungufu.
Ilipaswa fine itozwe kwa dereva kupitia leseni yake na siyo mmiliki wa gari, kwasababu naweza kumpa mtu gari langu akaandikiwa fine lakini akanyamaza bila kulipa wala kunitaarifu.
Sijui lkn wao wa track makosa kwa kutumia namba ya gari. Ingawa waliniambia kuwa nikamtafute aje alipe mimi sina kosa lkn lazima gari libaki hapo. Kwa kuchukulia kuwa kijana ni mtoto wa jirani nikaona ni bora nilipe yaishe.
Nafikiri wanatega mitego sehemu mbali mbali za jiji, wanatumia generator na kamera ambayo inawekwa mita kama 100 kutoka walipo halafu mtu wao ana-monitor kwenye laptop na kuwapa taarifa pindi gari inayodaiwa inapopita. Nilikaaanao sana ikipita gari ile system inasoma namba kama inadaiwa backgroud ya monitor yao inakuwa Nyekundu ama sivyo inakuwa white