Nimepigwa fine kwa kuvuka zebra cross, kwenda kulipia naambiwa karatasi haina ref number

msemakweli2

JF-Expert Member
Jul 28, 2013
1,627
1,879
Naomba ushauri juzi Ijumaa nimepigwa fine kwa kuvuka zebra cross nikaandikiwa kulipia fine tshs. 30,000 tatizo nimeenda kulipia wakaniambia kwamba kile kikaratasi nilichopewa na traffic hakina reference no, nikaamua kunyamaza mpaka leo sijalipia,au nakosea wanajamvi kama hawana reference watanikamatia wapi
 
naomba ushauri juzi ijumaa nimepigwa fine kwa kuvuka zeebra cross nikaandikiwa kulipia fine tshs. 30,000 tatizo nimeenda kulipia wakaniambia kwamba kile kikaratasi nilichopewa na traffic hakina reference no, nikaamua kunyamaza mpaka leo sijalipia,au nakosea wanajamvi kama hawana reference watanikamatia wapi
Watakukamata kwenye kulipia Driving Licence.....siku hizi wana weka driving licence number kwenye hiyo karatasi.... hebu ipige picha iweke tuione
 
Naona kuna shida ya huo mtandao wa Police. Hata mimi nimepigwa faini kwa overspeeding, lakini kikaratasi hakina reference number. Kama Polisi wamo humu watusaidie, kwani nayo penalt ya 25% inaumiza kama tusipolipa ndani ya siku saba.
 
Kaa hivo hivo, mwezi June mwaka huu nilishikwa na kuandikiwa na kikatokea kama wewe nikasema nipotezee, juzi nimelipa elf 60 baada ya kusimamishwa na kucheck leseni yangu. Kaa tu mkuu.
 
naomba ushauri juzi ijumaa nimepigwa fine kwa kuvuka zeebra cross nikaandikiwa kulipia fine tshs. 30,000 tatizo nimeenda kulipia wakaniambia kwamba kile kikaratasi nilichopewa na traffic hakina reference no, nikaamua kunyamaza mpaka leo sijalipia,au nakosea wanajamvi kama hawana reference watanikamatia wapi
Wote mliopigwa faini halafu rist ikawa haina reference no. Fanyeni hivi *175*52# ok. Fata maelekezo, mtapata reference no. Utaenda nayo kwa wakala wa maxmalipo utalipa
 
Mkuu nenda kwa traffic mwenye ile mashine mwambie umepoteza kikaratasi cha faini hivyo akuangalizie kama gari/leseni inadaiwa maana ukikaa kimya 25%inajiongeza
 
Naomba ushauri juzi Ijumaa nimepigwa fine kwa kuvuka zebra cross nikaandikiwa kulipia fine tshs. 30,000 tatizo nimeenda kulipia wakaniambia kwamba kile kikaratasi nilichopewa na traffic hakina reference no, nikaamua kunyamaza mpaka leo sijalipia,au nakosea wanajamvi kama hawana reference watanikamatia wapi
Labda madereva wakianza kupigwa faini kwa kutozingatia vivuko mtaanza kuwa makini maana hapa Tanzania madereva mna tabia mbaya sana. Mnapita kwenye hizo crossings kwa spidi kali tena mkipiga na honi ya kuonya raia anayekaribia hapo akae mbali. Kwa nini mnakuwa na tabia hiyo?
 
naomba ushauri juzi ijumaa nimepigwa fine kwa kuvuka zeebra cross nikaandikiwa kulipia fine tshs. 30,000 tatizo nimeenda kulipia wakaniambia kwamba kile kikaratasi nilichopewa na traffic hakina reference no, nikaamua kunyamaza mpaka leo sijalipia,au nakosea wanajamvi kama hawana reference watanikamatia wapi

Fuatilia kwa umakini kwani kuna hatari deni ukakuta linakua zaidi. Mimi nilimpa kijana gari anipeleke uwanja wa ndege mwezi Januari 2016, ilikuwa alfajiri saa 11 hivi. Kumbe baada ya hapo akaanza misele yake mwenyewe, na saa mbili alikamatwa Tabata kwa kuvuka taa nyekundu. Dogo hakusema kitu, mwezi Juni nikiwa njiani kwenda Kimara pale bucha nilisimamishwa na kuambiwa kuweka gari pembeni. Niliambiwa kuwa nadaiwa like 166,000/= hivi kwa kuwa nilipigwa faini sikulipa.

Nikabisha nao wakaonyesha kuwa kamera inaonyesha kuwa mimi nadaiwa ila wakainingiza leseni yangu kwenye system yao haikuonekana na kosa, wakatoa ripoti nyingine iliyoonyesha leseni namba ya kijana. Wakanambia nipaki gari langu hapo nikamtafute kijana alipe ama nilipe mimi kwa Mpesa.
Nilikuwa sina namna bali kutii kwa kulipa ndo nikaruhusiwa kuondoka hivyo uwe makini fuatilia kwa karibu
 
Mkuu nenda kwa traffic mwenye ile mashine mwambie umepoteza kikaratasi cha faini hivyo akuangalizie kama gari/leseni inadaiwa maana ukikaa kimya 25%inajiongeza

Niliwahi kufanya hivyo nikaenda pale Salenda kuulizia Reference number nikapewa nikalipa, juzi kati hapa nikapigwa tena faini kwa kosa lingine nikasema that day mtandao ulikuwa chini ngoja leo nicheki reference number kupitia simu, dah kilichotokea nikaambiwa nina deni la nyuma na nimeshapigwa faini inakaribia elfu 60 nikashangaa, kucheki reference number ni tofauti na ile aliyonipa Polisi Trafiki pale Salenda.

I went forward kucheki MaxMalipo nikakuta nimelipia kosa la mtu mwingine kabisa na namba zake za gari zikaonekana. Sasa namtafuta huyo mtu tugawane hasara.
 
mapato.jpg
ha
 
mtafute mkuu hali yenyewe korofi saivi,hiyo 60,000 kwa hali ya sasa ni nyingi sana
 
mimi ninataka kufahamu ni namna gani nitatambua kama gari yangu inadaiwa haya makosa ya barabarani
 
Fuatilia kwa umakini kwani kuna hatari deni ukakuta linakua zaidi. Mimi nilimpa kijana gari anipeleke uwanja wa ndege mwezi Januari 2016, ilikuwa alfajiri saa 11 hivi. Kumbe baada ya hapo akaanza misele yake mwenyewe, na saa mbili alikamatwa Tabata kwa kuvuka taa nyekundu. Dogo hakusema kitu, mwezi Juni nikiwa njiani kwenda Kimara pale bucha nilisimamishwa na kuambiwa kuweka gari pembeni. Niliambiwa kuwa nadaiwa like 166,000/= hivi kwa kuwa nilipigwa faini sikulipa.

Nikabisha nao wakaonyesha kuwa kamera inaonyesha kuwa mimi nadaiwa ila wakainingiza leseni yangu kwenye system yao haikuonekana na kosa, wakatoa ripoti nyingine iliyoonyesha leseni namba ya kijana. Wakanambia nipaki gari langu hapo nikamtafute kijana alipe ama nilipe mimi kwa Mpesa.
Nilikuwa sina namna bali kutii kwa kulipa ndo nikaruhusiwa kuondoka hivyo uwe makini fuatilia kwa karibu
Hii system ina mapungufu.

Ilipaswa fine itozwe kwa dereva kupitia leseni yake na siyo mmiliki wa gari, kwasababu naweza kumpa mtu gari langu akaandikiwa fine lakini akanyamaza bila kulipa wala kunitaarifu.
 
Labda madereva wakianza kupigwa faini kwa kutozingatia vivuko mtaanza kuwa makini maana hapa Tanzania madereva mna tabia mbaya sana. Mnapita kwenye hizo crossings kwa spidi kali tena mkipiga na honi ya kuonya raia anayekaribia hapo akae mbali. Kwa nini mnakuwa na tabia hiyo?


Tupo tayari kuwasaidia polisi, tunaomba namba za whatsapp ili tuwatumie video za wenye tabia hii ya kudharau hiyo sheria, waenda kwa miguu wananyanyasika sana na wengie hugongwa katika maeneo hayo
 
Naomba ushauri juzi Ijumaa nimepigwa fine kwa kuvuka zebra cross nikaandikiwa kulipia fine tshs. 30,000 tatizo nimeenda kulipia wakaniambia kwamba kile kikaratasi nilichopewa na traffic hakina reference no, nikaamua kunyamaza mpaka leo sijalipia,au nakosea wanajamvi kama hawana reference watanikamatia wapi

piga *152*75# uweke namba yako ya gari au leseni then watakupa reference number pamoja na kiasi unachodaiwa!!!
 
Niliwahi kufanya hivyo nikaenda pale Salenda kuulizia Reference number nikapewa nikalipa, juzi kati hapa nikapigwa tena faini kwa kosa lingine nikasema that day mtandao ulikuwa chini ngoja leo nicheki reference number kupitia simu, dah kilichotokea nikaambiwa nina deni la nyuma na nimeshapigwa faini inakaribia elfu 60 nikashangaa, kucheki reference number ni tofauti na ile aliyonipa Polisi Trafiki pale Salenda.

I went forward kucheki MaxMalipo nikakuta nimelipia kosa la mtu mwingine kabisa na namba zake za gari zikaonekana. Sasa namtafuta huyo mtu tugawane hasara.
Next time kuwa makini kuoanisha maana traffic hutumia namba ya leseni au plate number kukukamata. Mimi niliwah kupigwa faini ila namba moja ilifutika hivyo nikaenda kwa traffic akatumia ile mashine kuicheck nami nikaoanisha taarifa. Wito wangu ukimuazima mtu gari akikurudishia check kwanza inadaiwa au la *152*75#
 
Labda madereva wakianza kupigwa faini kwa kutozingatia vivuko mtaanza kuwa makini maana hapa Tanzania madereva mna tabia mbaya sana. Mnapita kwenye hizo crossings kwa spidi kali tena mkipiga na honi ya kuonya raia anayekaribia hapo akae mbali. Kwa nini mnakuwa na tabia hiyo?
Inategemea mazingira mfano kwa tazara pale kuna zebra kabla ya mataa mandela road au pale buguruni sheli sasa utakuta mataa/traffic ameruhusu na baadhi ya wananchi wanajipendekeza kuvuka hapo unategemea nini na hadi kuitwa tena na traffic sio chini ya dk 20, wito wangu wananchi nao wawe makini na vivuko/zebra cross zilizo busy/sumbufu waweke vivuko vya daraja ie manzese
 
Back
Top Bottom