msemakweli2
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 1,627
- 1,879
Naomba ushauri juzi Ijumaa nimepigwa fine kwa kuvuka zebra cross nikaandikiwa kulipia fine tshs. 30,000 tatizo nimeenda kulipia wakaniambia kwamba kile kikaratasi nilichopewa na traffic hakina reference no, nikaamua kunyamaza mpaka leo sijalipia,au nakosea wanajamvi kama hawana reference watanikamatia wapi