Nimepigwa faini ya 30,000/= ya kioo cha mbele cha gari

tofyo

JF-Expert Member
Jul 18, 2013
2,750
757
Upande mmoja wa wanyonge unaonekana unafurahia mapigo ya kustukiza anayoendeleza Mh.Magufuli.

Upande wa pili wa wanyonyaji unaonekana unahaha juu ya udhaifu na uozo katika ofisi zao.

Wengine wanadhani kwamba hii ni disco toto, kwamba siku sio nyingi labda atalegeza msimamowake alafu utaratibu wao uendele kama ulivyokuwa.

Jana nimepigwa faini ya 30000 ya kioo cha mbele cha gari kilikuwa na ufa, na nikalipa bila kinyongo na nikapita dukani fasta kubadilisha.

Watanzania tumsaidie jamaa,wote tukatae rushwa kuanzia juu mpaka chini maendeleo yatapatikana mazee.kilamtu aridhike na kipato chake.

Wale mafisadi wanaolalamika waambieni wasianze kulia ugomvi bado haujaanza.
 
Upande mmoja wa wanyonge unaonekana unafurahia mapigo ya kustukiza anayoendeleza Mh.Magufuli.

Upande wa pili wa wanyonyaji unaonekana unahaha juu ya udhaifu na uozo katika ofisi zao.

Wengine wanadhani kwamba hii ni disco toto, kwamba siku sio nyingi labda atalegeza msimamowake alafu utaratibu wao uendele kama ulivyokuwa.

Jana nimepigwa faini ya 30000 ya kioo cha mbele cha gari kilikuwa na ufa, na nikalipa bila kinyongo na nikapita dukani fasta kubadilisha.

Watanzania tumsaidie jamaa,wote tukatae rushwa kuanzia juu mpaka chini maendeleo yatapatikana mazee.kilamtu aridhike na kipato chake.

Wale mafisadi wanaolalamika waambieni wasianze kulia ugomvi bado haujaanza.

Wanaomfahamu Magufuli mbona tunaelewa kustukiza ndiyo zake.

Chizi tumempa rungu. Mtaisoma namba.
 
Upande mmoja wa wanyonge unaonekana unafurahia mapigo ya kustukiza anayoendeleza Mh.Magufuli.

Upande wa pili wa wanyonyaji unaonekana unahaha juu ya udhaifu na uozo katika ofisi zao.

Wengine wanadhani kwamba hii ni disco toto, kwamba siku sio nyingi labda atalegeza msimamowake alafu utaratibu wao uendele kama ulivyokuwa.

Jana nimepigwa faini ya 30000 ya kioo cha mbele cha gari kilikuwa na ufa, na nikalipa bila kinyongo na nikapita dukani fasta kubadilisha.

Watanzania tumsaidie jamaa,wote tukatae rushwa kuanzia juu mpaka chini maendeleo yatapatikana mazee.kilamtu aridhike na kipato chake.

Wale mafisadi wanaolalamika waambieni wasianze kulia ugomvi bado haujaanza.



Bado hilo ni sanaa-Unauhakika gani kama hiyo risiti ni ya ukweli?
Hadi hapo pesa zitakapo kuwa zikilipwa moja kwa moja Benki ama kwa mfumo wa Mobile banking au physical deposit ndiyo nitakuwa na imani tuko hatua moja mbele kushughulika na ufisadi wa barabarani!



[h=3]Utaratibu mpya wa faini za Trafiki uongeze tija. - Home[/h]www.ippmedia.com/frontend/...za/.../page_home.js?l...


Translate this page
Sep 18, 2015 - Pia jeshi hilo litaanza utaratibu wa kuweka nukta katika leseni za madereva ... wakidai wamekuwa wakilipishwa faini bila ya kupewa risiti halali za serikali (GRR). ... vitabu na kutoa risiti feki na kuzitafuna fedha za serikali.
 
Rushwa ya usalama barabarani inaweza kuisha iwapo tutapata majibu ya maswali Kama vile, kwa nini mtoa rushwa anashawishika kutoa rushwa, kwa nini askari naye anashawishika kupokea rushwa.

Kimsingi mtoa rushwa ndiye kwa kiwqngo kikubwa anamshawishi askari apokee shilingi 5000 badala ya faini ya 30000, the question is why? Ni vizuri kupata majibu hapa maana si askari anayetangulia kushawishi bali ni dereva.

Ikiwezekana mjadala huu uanzishiwe thread yake, labda tunaweza kuisaidia serikali kuja na njia sahihi ya kumaliza ama kupunguza rushwa kwa askari wa usalama barabarani.
 
Rais aneongoza kwa kustukiza.
Halafu kuna watu wanasifia hapa eti traffic wanapiga faini watu na kumbe Pesa haziendi serikalini kwani wana vitabu fake.
Kwa hiyo tunamsifu Magufuli kwa kutajirisha polisi? Huwezi kuendesha nchi kwa kushtukiza shtukiza ikapata Maendeleo. Naanza kupata mashaka kuwa tunaweza kuwa nchi ya hovyo sana
 
Halafu kuna watu wanasifia hapa eti traffic wanapiga faini watu na kumbe Pesa haziendi serikalini kwani wana vitabu fake.
Kwa hiyo tunamsifu Magufuli kwa kutajirisha polisi? Huwezi kuendesha nchi kwa kushtukiza shtukiza ikapata Maendeleo. Naanza kupata mashaka kuwa tunaweza kuwa nchi ya hovyo sana

Watajua wenyewe na li-nchi lao.

Uongozi ni kipaji, hata kupanga safu ya watu wa kufanya kazi nacho ni kipaji, sio kila mtu anacho.

Magufuli anaweza kuwa kiongozi mfuatiliaji ila sio kiongozi wa ku-organise what to be done and it should be done exactly.

Ataongoza kwa matisho tu.
 
Rushwa ya usalama barabarani inaweza kuisha iwapo tutapata majibu ya maswali Kama vile, kwa nini mtoa rushwa anashawishika kutoa rushwa, kwa nini askari naye anashawishika kupokea rushwa.

Kimsingi mtoa rushwa ndiye kwa kiwqngo kikubwa anamshawishi askari apokee shilingi 5000 badala ya faini ya 30000, the question is why? Ni vizuri kupata majibu hapa maana si askari anayetangulia kushawishi bali ni dereva.

Ikiwezekana mjadala huu uanzishiwe thread yake, labda tunaweza kuisaidia serikali kuja na njia sahihi ya kumaliza ama kupunguza rushwa kwa askari wa usalama barabarani.

Mtoa rushwa na mpokea rushwa wote wana makosa.
Ebu tuanzie mtoa rushwa, Kwanini anatoa rushwa?
Hapo kwanza kuna tofauti kati ya 30000 na 5000 kwa hiyo mara nyingi askari huyo hakuambii toa 5000 nikuachie, yeye atakuambia lipa faini ya 30000 hatimaie unaanza kuimba ili usitoe hiyo 30000 kwani ni nyingi sana hatimie mnaelewana iwe 5000 kila mtu aendelee na maisha yake.
Sasa hapa alionza ni wewe mtoa rushwa na ni makosa makubwa,
Askari nae ana njaa hata kama hana njaa kwa kukusanya kwa siku 5000 mara 100 hapo barabarani lakini yeye atafurahia tu kupokea hizo 5000 pia ni makosa.

Sasa je tufanyeje ili hii rushwa ipotee. Si uongo hakuna anaye taka kutoa 30000. Kwa hiyo hili suala litakua juu ya serikali kuweka watu barabarani ambao watajifanya wanataka kubebmbela ili asitoe hiyi faini 30000 na hao ni askari under cover kama USA wanavyo fanya kukamata wauza unga barabarani.

Tatizo lingine ni la maofisini, Kwa mfano ukitaka kuchukua leseni ya biashar au gari au shughuli yoyote ya kiofisi. Hapa hujapigwa faini bali utalipia ada kama kawaida, lakini hata kama utalipa hiyo ada utazungushwa hadi utoe cha pembeni (rushwa) Hapa inabidi utoe ili ukaendelee na shughuli zako kwa hiyo binafsi ninavyo ona ni hao ma officers ndio wenye makosa makubwa wa kuzubaisha kazi zao ili mradi wapate hongo. Mfano mzuri ukachukue passi, hapo utazungusha hadi utoe hongo. Hapa umelazimishwa kutoa.
Sasa tutafanyeje ili tusitoe rushwa?

Tunaomba kitengo cha kuzuia rushwa kifanyiwe kazi na mh. raisi ili kifanye kazi inavyo takiwa. na sisi kama tuna taka kukomesha rushwa tufanye kama yule jamaa wa Tanga, kila mtu siku hizi ana simu, hata kama huna simu ya kurecord video unaweza ukamchukua sauti yake, unategesha simu kwenye record na unaweka mfuko wa juu, utaongea na huyo officer na kila kitu kita nasa, then coppy mmoja unapeleke kunako husika na hongo, coppy nyingine unaweka hapa kwenye mtambo kila mtu asikie au aone, (kuna voice recorder nyingi tu na ndogo sana)
hivyo wengi watakuja kuogopa na kuacha kuchukua rushw, ingawa mwizi anakuja na style mpya kila siku ili asikamatwe lakini na sisi tutaendelea kujadili ili tupate suluhisho.
 
Back
Top Bottom