figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
bibi kizee baada ya kupiga kura igunga alikua anahojiana na mtangazaji mmoja.
mtangazaji akamuulia;hali ya uchaguzi unaionaje?
bibi akajibu;nimewapigia vidole vili.akimanisha chadema.
hahaahahaaa....!!mia
mtangazaji akamuulia;hali ya uchaguzi unaionaje?
bibi akajibu;nimewapigia vidole vili.akimanisha chadema.
hahaahahaaa....!!mia