chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,118
- 22,505
Duh! Ata nilivyokuwa chuo sikuwa na akili fupu hivi. Nyie ndo wale mkilala mnakombatiana kisa baridi.
Achana naye huyo ndugu, fanya mambo yako tu, ili mradi hujamkosea wewe, mtoe moyoni, ishi maisha yako!!! Ukilipa kisasi bado hutapata faida yoyote, ila ukikaa kimya, utaonyesha kuwa wewe una nguvu na vitu kama hivyo visiwe kikwazo kwako kufanya mema.Bandugu wa JamiiForums
Nimeleta hili jambo limenitokea usiku huu hapa alichokifanya huyu rafiki yangu
Mimi ni rafiki toka zamani tulipokutana chuo mwaka wa kwanza hadi sasa tupo mwaka wa pili chuo flan hivi hapa Arusha
Mara ya kwanza alikua anakaa na mwenzake ambaye wameanzia toka huko diploma lakini wakashindwana
Hiyo siku akanitumia msg kwamba anaomba siku anarudi huku arusha maana vyuo vinafunguliwa aje ashukie kwangu maana hana pa kushukia hivyo atakaa kama week tu akitafuta chumba.
Nikamkubalia bila tatizo akawa anakaa kwangu, bila shida nikawa namsitiri kwa kila hali simuulizi hela yoyote ya kula au gharama ya kununua chochote.
Siku zikaenda akawa hana dalili ya kuhama
Nikamueleza hali halisi kwamba ajitahidi atafute room maana muda umeenda sana na boom ashapata bas akaendelea kukaa na hatimaye akapata kwake japo alikua hataki kuondoka.
Akawa hakai sana huko kwake muda mwingi anakuja kwangu anakaa unakuta kakwama tunasaidiana hapa na pale
Sasa mimi nilichukia jambo moja....ana kasumba ya kupenda kupinga kila kitu atabisha kila kitu...hicho ndo tulikua tunapishana nacho kila siku na hata yule mshikaji alokaa nae mwanzo wakashindwana.
Akapata matatizo mama yake akaugua hakua na hela akaniomba nimkopeshe 90k nikampa mimi nina kanuni moja nikikusaidia sitaki utangaze au sinaga tabia ya kutangaza mambo yangu na yeye
Sikuwai mwambia mtu chochote hata tukipishana kauli,na pia alikaa kwangu bila mtu yoyote chuo kujua... maana sinaga tabia za kutangaza mambo
Sasa akawa ana tabia za ajabu ..mara utakua na jambo la kuumwa haji kukuona, ukiwa matatzoni hakusaidiii....ni mtu mbinafsi tu...
Mimi nilimchukulia km ndugu kbs.. lakini akawa habadiliki atafanya makosa ataomba msamaha na samahani nyngi itapita kesho atarudia
Halaf jamaa ukikosea ni mtu wa kukukosoa tu, na kukusema tu na kukukejeli...nikagundua huyu sio rafiki mwema....
Nikaamua kumchana live kupitia watsaap nikamueleza ukweli mwanzo mwisho kwamba anayofanya sio fair na abadilike...
Mchizi akaona msg akaomba msamaha na kwamba nisvunje ushikaji na kwamba amebadilika
Zimepita km week hiv leo tupo wote hapa maana nilikua naumwa tu nipo mnyonge natetemeka homa toka asbh naumwa ghafla akaanza tena issue ni msosi nikamuambia leo tunakula nn akasema hajui kwa kua sikua na hela akasema anaenda kula mgahawani kisa napika dagaa
Nikamwambia sawa ila sio poa kudharau chakula hapo akaanza kukumbushia ishu za zile msg akawa ananiuliza km niliizifuta yaani msg nilizomtumia kumchana ukweli ile siku.
Nikwamwambia mm hizo msg hazina shida kwanini anamind wakat alishasoma kwanini anaforce nifute?Duuh nikiwa nimelala naumwa ghafla mtu akanirukia akanikaba koo kwamba nifute hizo msg akanibana pumzi sasa kwa kua nilikua naumwa nilimsukuma nikanyanyuka tukaanza kupigana anangangania simu yangu
Tulipokua tunashikana tupigane akawahi kisu sasa hapo nikaona ashashika kisu nikaita msaada kwa majirani wakaja wapangaji wenzangu.
Akataka kukimbia wakamuwah ndo nikawaeleza uhalisia akabaki akiduwaa na kutetemeka nilikua na hasira kinyama na nipo naumwa hata kula siwez nina week nimekua hadi weak.
Nimemuacha aende lakini sijui km nitakuja msamehe huyu mtu nilimshamsaidia sana matokeo yake ni haya.
Urafiki huu duuuh nambie ingekua ni ww ungefanyaje kwa huyu mtu?maana nina hasira sana nataman nikipone nikamlipizie kisasi wakuu nishaurini nimfanye nn huyu rafiki.
Sikuwai mwambia mtu chochote hata tukipishana kauli,na pia alikaa kwangu bila mtu yoyote chuo kujua... maana sinaga tabia za kutangaza mambo
Marafiki masnitch achana naoWhat u mean?
Marafiki masnitch achana nao
Unanikumbusha chuo nilikuwa nimepanga na jamaa sema mim mvumilivu sana jamaa anakosoa sana kiasi kwamba unajikuta mkosaji yeye hataki kukosolewa ujuaji mwingi ,mara kujifanya ana shida akikuona tu na hela ukimpa kariakoo viwalo ,mara tusifanye hiki sijui mara field tusifanya jamaa ana tatizo kwa kila solution
Nimepiga chini getto nikatimua nikamwachia nikasepa sina hamu nae mwaka wa pili sasa mambo ynaniendea safi
Kuna mmoja wenu ni shoga au shoga to be!
kwa nini ulimshikia kisu?Kwahiyo ukitoka kupigana huwa unawahi kusambaza umbeya humu?
Umesema ukimsaidia mtu hupendi atangaze n kwamba wewe sio mtu wa kutangaza mabo yako. Kwani hapa unafanyaje mkuu kama sio kutangaza?
Kati yenu kuna mmoja hayupo sawa kichwani
Safi hiyo master upo chuo gn?
Tafutà demu
Nasema tena kuwa na urafiki na mtu ni kiherehere sio sheria!Bandugu wa JamiiForums
Nimeleta hili jambo limenitokea usiku huu hapa alichokifanya huyu rafiki yangu
Mimi ni rafiki toka zamani tulipokutana chuo mwaka wa kwanza hadi sasa tupo mwaka wa pili chuo flan hivi hapa Arusha
Mara ya kwanza alikua anakaa na mwenzake ambaye wameanzia toka huko diploma lakini wakashindwana
Hiyo siku akanitumia msg kwamba anaomba siku anarudi huku arusha maana vyuo vinafunguliwa aje ashukie kwangu maana hana pa kushukia hivyo atakaa kama week tu akitafuta chumba.
Nikamkubalia bila tatizo akawa anakaa kwangu, bila shida nikawa namsitiri kwa kila hali simuulizi hela yoyote ya kula au gharama ya kununua chochote.
Siku zikaenda akawa hana dalili ya kuhama
Nikamueleza hali halisi kwamba ajitahidi atafute room maana muda umeenda sana na boom ashapata bas akaendelea kukaa na hatimaye akapata kwake japo alikua hataki kuondoka.
Akawa hakai sana huko kwake muda mwingi anakuja kwangu anakaa unakuta kakwama tunasaidiana hapa na pale
Sasa mimi nilichukia jambo moja....ana kasumba ya kupenda kupinga kila kitu atabisha kila kitu...hicho ndo tulikua tunapishana nacho kila siku na hata yule mshikaji alokaa nae mwanzo wakashindwana.
Akapata matatizo mama yake akaugua hakua na hela akaniomba nimkopeshe 90k nikampa mimi nina kanuni moja nikikusaidia sitaki utangaze au sinaga tabia ya kutangaza mambo yangu na yeye
Sikuwai mwambia mtu chochote hata tukipishana kauli,na pia alikaa kwangu bila mtu yoyote chuo kujua... maana sinaga tabia za kutangaza mambo
Sasa akawa ana tabia za ajabu ..mara utakua na jambo la kuumwa haji kukuona, ukiwa matatzoni hakusaidiii....ni mtu mbinafsi tu...
Mimi nilimchukulia km ndugu kbs.. lakini akawa habadiliki atafanya makosa ataomba msamaha na samahani nyngi itapita kesho atarudia
Halaf jamaa ukikosea ni mtu wa kukukosoa tu, na kukusema tu na kukukejeli...nikagundua huyu sio rafiki mwema....
Nikaamua kumchana live kupitia watsaap nikamueleza ukweli mwanzo mwisho kwamba anayofanya sio fair na abadilike...
Mchizi akaona msg akaomba msamaha na kwamba nisvunje ushikaji na kwamba amebadilika
Zimepita km week hiv leo tupo wote hapa maana nilikua naumwa tu nipo mnyonge natetemeka homa toka asbh naumwa ghafla akaanza tena issue ni msosi nikamuambia leo tunakula nn akasema hajui kwa kua sikua na hela akasema anaenda kula mgahawani kisa napika dagaa
Nikamwambia sawa ila sio poa kudharau chakula hapo akaanza kukumbushia ishu za zile msg akawa ananiuliza km niliizifuta yaani msg nilizomtumia kumchana ukweli ile siku.
Nikwamwambia mm hizo msg hazina shida kwanini anamind wakat alishasoma kwanini anaforce nifute?Duuh nikiwa nimelala naumwa ghafla mtu akanirukia akanikaba koo kwamba nifute hizo msg akanibana pumzi sasa kwa kua nilikua naumwa nilimsukuma nikanyanyuka tukaanza kupigana anangangania simu yangu
Tulipokua tunashikana tupigane akawahi kisu sasa hapo nikaona ashashika kisu nikaita msaada kwa majirani wakaja wapangaji wenzangu.
Akataka kukimbia wakamuwah ndo nikawaeleza uhalisia akabaki akiduwaa na kutetemeka nilikua na hasira kinyama na nipo naumwa hata kula siwez nina week nimekua hadi weak.
Nimemuacha aende lakini sijui km nitakuja msamehe huyu mtu nilimshamsaidia sana matokeo yake ni haya.
Urafiki huu duuuh nambie ingekua ni ww ungefanyaje kwa huyu mtu?maana nina hasira sana nataman nikipone nikamlipizie kisasi wakuu nishaurini nimfanye nn huyu rafiki.