Nimepiga mahesabu ni bora mwanangu wa miaka 5 aanze Ku exercise professional ya ngumi/ football kuliko kwenda shule zenu hizo.

Nyankuru Wankuru

JF-Expert Member
Apr 22, 2018
1,199
1,346
Nimeamua mwanangu aende moja kwa moja kwenye professional ya ngumu/ football badala ya kuanza shule na kusoma hadi chuo kikuu.


Coz huku kwenye mangumi na mpira ni shortcut sana kufikia malengo yake ya kimaisha hasa maisha mazuri .


Mnanishaurije wadau wangu. Coz mm baba yake nimesoma weee lakini kuja kufanikisha maisha mazuri hadi nilipofikia umri wa miaka 60.


Sasa naona ni bora dogo apite shortcut tu.


Naomba kuwasilisha.
 
1.Wacheza ngumi wengi bongo ni wezi na wana maisha ya kawaida sana
2. Mpira bongo mpk upate kucheza ligi kuu utasubiri sana home hapa nina bro angu anapiga namba 6 Safi lakini kutoka sasa ndo kipengele yuko home miaka 5 sasa anacheza team za kawaida sana
 
Nimeamua mwanangu aende moja kwa moja kwenye professional ya ngumu/ football badala ya kuanza shule na kusoma hadi chuo kikuu.


Coz huku kwenye mangumi na mpira ni shortcut sana kufikia malengo yake ya kimaisha hasa maisha mazuri .


Mnanishaurije wadau wangu. Coz mm baba yake nimesoma weee lakini kuja kufanikisha maisha mazuri hadi nilipofikia umri wa miaka 60.


Sasa naona ni bora dogo apite shortcut tu.


Naomba kuwasilisha.
Una miaka 60+ na una mtoto mdogo !!!!
 
kwa mwita-warioba ni sawa mpeleke huko, lakini usiwaone waliopo huko kama mazezeta, wanaelimu nzuri. sujui kama utanielewa; dont underestimate the value of education.
Tyson hana Elimu alikua mtoto wa kitaa pia naskia mayweather hajui kusoma
Ila kwa bongo bora dogo asome tu
 
Akienda boxing basi Taifa litakuwa limezalisha mkabaji mwingine.

Rejea wacheza ngumi wa Keko, Mabibo na Manzese.
 
Back
Top Bottom