Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,351
- 40,224
Nimepiga chini mchepuko. Mchepuko huyu kwa namna moja au nyingine amenisaidia sana kuniweka bize pale palipohitajika.
Nilijaribu kumtimizia mahitaji yake binafsi, familia yake, na hata yeye kula vizuri, pamoja na baadhi ya vitu vingine. Changamoto iliyojitokeza wiki hii mwanzoni, aliniomba nimnunulie aina fulani ya laptop; mi nikamwambia asubiri kama baada ya wiki mbili nitamnunulia.
Tatizo sasa linakuja, anakuwa anakumbushia kila siku. Mbaya zaidi kilichonikera usiku wa leo anasema hawezi nipa gemu mpaka nimtimizie hilo ombi lake.
Kwa kweli limenikera sana. Hapo hapo nikaamua kupiga chini na kumwambia aendelee na safari yake ya maisha.
Je, wakuu, nimefanya sahihi ama si sahihi?
Nilijaribu kumtimizia mahitaji yake binafsi, familia yake, na hata yeye kula vizuri, pamoja na baadhi ya vitu vingine. Changamoto iliyojitokeza wiki hii mwanzoni, aliniomba nimnunulie aina fulani ya laptop; mi nikamwambia asubiri kama baada ya wiki mbili nitamnunulia.
Tatizo sasa linakuja, anakuwa anakumbushia kila siku. Mbaya zaidi kilichonikera usiku wa leo anasema hawezi nipa gemu mpaka nimtimizie hilo ombi lake.
Kwa kweli limenikera sana. Hapo hapo nikaamua kupiga chini na kumwambia aendelee na safari yake ya maisha.
Je, wakuu, nimefanya sahihi ama si sahihi?