matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,540
- 15,180
habar wakuu.
Kama ghadafi alitengeza mto.
Waziri mkuu Israel alibuni mashamba na Bustani jangwani.
Waholanzi walotengeneza nchi kavu baharini.
wachina airport Baharini.
hata sisi tumefanya jambo kubwa la kuenziwa.
"kuwapa wanyamapori ''mtoko'' kutoka walipozoea na kwenda kuwaanzishia maisha sehemu ambapo hawajawahi kifikiri kuishi na kuongeza idadi ya sehemu ya kuwaona wanyama pori nchini'' hili ni jamno jema.
Bila wivu, husda, hila, chuki katoto kangu ka mwisho ikitokea Mungua akanipa nitakaita '' Buligi Matunduizi''.
Sipangiwi
Kama ghadafi alitengeza mto.
Waziri mkuu Israel alibuni mashamba na Bustani jangwani.
Waholanzi walotengeneza nchi kavu baharini.
wachina airport Baharini.
hata sisi tumefanya jambo kubwa la kuenziwa.
"kuwapa wanyamapori ''mtoko'' kutoka walipozoea na kwenda kuwaanzishia maisha sehemu ambapo hawajawahi kifikiri kuishi na kuongeza idadi ya sehemu ya kuwaona wanyama pori nchini'' hili ni jamno jema.
Bila wivu, husda, hila, chuki katoto kangu ka mwisho ikitokea Mungua akanipa nitakaita '' Buligi Matunduizi''.
Sipangiwi