Nimependa Rais wa wanyonge anapochukua maamuzi magumu ili kuwavusha wanyonge!

Wewe pangu pakavu tia mchuzi endelea kulialia wenzio wanasonga mbele!

Ndio kauli yenu...wanalalamika ni wapiga dili

Kupora koro show

Kupora mafao

Sasa mnapora mitaji ya watu halafu mnakuja kusema Tanzania walipa kodi ni wachache kuliko Kenya...ushamba tu
 
Kuna watu watakosa la kusema,sasa hivi kura zote za wafanyabiashara wadogo wadogo zinaenda kwa John.
Wakina Zitto kwisha habari yao.
 
Mwanzoni aliagiza kodi ya majengo iwe 10,000 lakini TRA kwa ujuaji wakaweka wathamini ambao wakifika kwako wanakadiria kila banda 10,000 na unaweza kujikuta unalipa hadi 40,000 kwa plot moja. Leo mkuu wa nchi amedisitiza tena ni 10,000 kwa plot bila kujali mabanda yaliyomo.
Na hii ya wajasiriamali ndio mkombozi, pale Tegeta Nyuki sokoni wale wa wanaouza vitu vidogo vidogo wanatozwa ushuru wa sh 1300 kwa siku sawa na sh 39000 kwa mwezi au 468,000 kwa mwaka. Na hii fedha sidhani kama inafika kwa mkurugenzi wa manispaa ya kinondoni nadhani inaishia kwa wale matumbo tumbo watatu wanaotoza ushuru. Lakini leo ukombozi umewafikia wajasiriamali hawa ambao wengi ni wachagga na sasa watalipa sh 20,000 tu kwa mwaka mzima.

Maendeleo hayana vyama....... CCM hoyeee!


Jiwe anawaelekeza wasomi wa kodi jinsi ya kukadiria na kukusanya kodi?

Really?

Halafu JohntheBaptist anasema CCM Hoyeee!??

Such a joke!
 
Mwanzoni aliagiza kodi ya majengo iwe 10,000 lakini TRA kwa ujuaji wakaweka wathamini ambao wakifika kwako wanakadiria kila banda 10,000 na unaweza kujikuta unalipa hadi 40,000 kwa plot moja. Leo mkuu wa nchi amedisitiza tena ni 10,000 kwa plot bila kujali mabanda yaliyomo.
Na hii ya wajasiriamali ndio mkombozi, pale Tegeta Nyuki sokoni wale wa wanaouza vitu vidogo vidogo wanatozwa ushuru wa sh 1300 kwa siku sawa na sh 39000 kwa mwezi au 468,000 kwa mwaka. Na hii fedha sidhani kama inafika kwa mkurugenzi wa manispaa ya kinondoni nadhani inaishia kwa wale matumbo tumbo watatu wanaotoza ushuru. Lakini leo ukombozi umewafikia wajasiriamali hawa ambao wengi ni wachagga na sasa watalipa sh 20,000 tu kwa mwaka mzima.

Maendeleo hayana vyama....... CCM hoyeee!
Ngedere wewe,unasema maendeleo hayana chama huku unasema CCM hoye?

Wale wachagga mlowanyima hata kujijengea barabara sibkwasababu wamechagua upinzani?

Wale wa kimara walionyimwa fidia si wachagga?
 
Hivi ni kwa nini humu jf hasa hili jukwaa kuna watu siku itokeapo mada iendayo tofauti na matarajio yao kisiasa, kijamii na yenye mafanikio chanya kwa serikali lazima siku hiyo michango yao iambatane na kashfa, matusi na maneno ya kuudhi?.

Wajasiriamali wadogo ni wafanyabiashara wakubwa wa kesho. Kufundishwa kulipa kodi kwa ajili kujazia miradi ya maendeleo ni vzr na ni muhimu sana.

Tsh 20,000/= ni sawa na tsh 1667 @ mwezi nayo ni kodi kandamizi?. Nimefurahi inaenda serikali kuu ambako kwa sasa naamini matumizi yake si ya kutilia shaka yaani kufujwa.

Nafikiri ni wakati muafaka kwa wapenda maendeleo wa nchi hii kumpongeza mh. Rais kwa ubunifu huu ambao kila mkoa utaingiza zaidi tsh 500ml si fedha kidogo kwa nchi nzima.

Lkn iwe fundisho kwa wasaidizi wa Rais ambao wameshindwa kutekeleza maagizo haya kwa karibu miaka 2 sasa toka tuanze kuyasikia hadi mkuu mwenyewe kaamua kutenda. "Mnafanya nini ktk ofisi zetu?".
 
Hivi ni kwa nini humu jf hasa hili jukwaa kuna watu siku itokeapo mada iendayo tofauti na matarajio yao kisiasa, kijamii na yenye mafanikio chanya kwa serikali lazima siku hiyo michango yao iambatane na kashfa, matusi na maneno ya kuudhi?.

Wajasiriamali wadogo ni wafanyabiashara wakubwa wa kesho. Kufundishwa kulipa kodi kwa ajili kujazia miradi ya maendeleo ni vzr na ni muhimu sana.

Tsh 20,000/= ni sawa na tsh 1667 @ mwezi nayo ni kodi kandamizi?. Nimefurahi inaenda serikali kuu ambako kwa sasa naamini matumizi yake si ya kutilia shaka yaani kufujwa.

Nafikiri ni wakati muafaka kwa wapenda maendeleo wa nchi hii kumpongeza mh. Rais kwa ubunifu huu ambao kila mkoa utaingiza zaidi tsh 500ml si fedha kidogo kwa nchi nzima.

Lkn iwe fundisho kwa wasaidizi wa Rais ambao wameshindwa kutekeleza maagizo haya kwa karibu miaka 2 sasa toka tuanze kuyasikia hadi mkuu mwenyewe kaamua kutenda. "Mnafanya nini ktk ofisi zetu?".
Mkuu umenena vema sana!
 
Mwanzoni aliagiza kodi ya majengo iwe 10,000 lakini TRA kwa ujuaji wakaweka wathamini ambao wakifika kwako wanakadiria kila banda 10,000 na unaweza kujikuta unalipa hadi 40,000 kwa plot moja. Leo mkuu wa nchi amedisitiza tena ni 10,000 kwa plot bila kujali mabanda yaliyomo.
Na hii ya wajasiriamali ndio mkombozi, pale Tegeta Nyuki sokoni wale wa wanaouza vitu vidogo vidogo wanatozwa ushuru wa sh 1300 kwa siku sawa na sh 39000 kwa mwezi au 468,000 kwa mwaka. Na hii fedha sidhani kama inafika kwa mkurugenzi wa manispaa ya kinondoni nadhani inaishia kwa wale matumbo tumbo watatu wanaotoza ushuru. Lakini leo ukombozi umewafikia wajasiriamali hawa ambao wengi ni wachagga na sasa watalipa sh 20,000 tu kwa mwaka mzima.

Maendeleo hayana vyama....... CCM hoyeee!
Ni sawa....lakini!

Ukiangalia kwa undani na objectively, unaona kuna unafiki unafanyika au ni siasa za kilaghai tu. Nitafafanua.

Kodi inatozwa kwa kufauata sheria za kodi. Baada ya mwanzo Rais kutoa maelekezo, waziri alipeleka mapendekezo ya kubadilisha sheria za kodi. Kabla ya mapendekezo (mswada) ya kupelekwa bungeni, yanapita kwanza kwenye baraza la mawaziri (BLM) ambalo mwenyekiti wake sote tunamjua. Baada ya BLM mswada wa sheria unapelekwa bungeni. Baada ya mswada kupitishwa na bunge hauwezi kuwa sheria mpaka Rais akubali (accent). Kwa hivyo inashangaza sana (kama sio dharau kwa wananchi) mtu ambaye amehusika moja kwa moja na uwepo wa sheria hiyo (mbovu??) akiwa wa mwanzo kuilalamikia. Hakujua alichosaini? Ni wazi alijua kila kitu.

Tunaweza kuwalaumu TRA katika hili lakini kwa hakika anayepaswa kubeba hilo zigo la sheria mbovu ni waziri wa fedha, Bunge letu na zaidi Rais (kama kweli tunataka kuwa fair na objective). Maana kama Rais aliletewa sheria ambayo inaenda tofauti na maelekezo yake alikuwa na uwezo wa kuizuia ndani ya BLM kabla hata muswada haujaenda bungeni. Au la kapitiwa katika stage hivyo, angeweza kukataa kusaini. Mind you imeshapita karibia miezi 18 sasa tangia mabadiliko yafanyike.

Najua uchaguzi wa serikali za mitaa unakaribia kwa hivyo, kwa sisi wengine wenye makengeza sio vigumu sana kuona sababu ya hizi sarakasi zinazoendelea. Wengine mnayo haki ya kupiga makofi na vigeregere.
 
Mwanzoni aliagiza kodi ya majengo iwe 10,000 lakini TRA kwa ujuaji wakaweka wathamini ambao wakifika kwako wanakadiria kila banda 10,000 na unaweza kujikuta unalipa hadi 40,000 kwa plot moja. Leo mkuu wa nchi amedisitiza tena ni 10,000 kwa plot bila kujali mabanda yaliyomo.
Na hii ya wajasiriamali ndio mkombozi, pale Tegeta Nyuki sokoni wale wa wanaouza vitu vidogo vidogo wanatozwa ushuru wa sh 1300 kwa siku sawa na sh 39000 kwa mwezi au 468,000 kwa mwaka. Na hii fedha sidhani kama inafika kwa mkurugenzi wa manispaa ya kinondoni nadhani inaishia kwa wale matumbo tumbo watatu wanaotoza ushuru. Lakini leo ukombozi umewafikia wajasiriamali hawa ambao wengi ni wachagga na sasa watalipa sh 20,000 tu kwa mwaka mzima.

Maendeleo hayana vyama....... CCM hoyeee!
Kama inawezekana aondoe na ule ushuru wa mtu anaenda kumpkea ndugu yake, au kukata ticket ya kusafiri, pale ubungo. ki msingi hakuna chochote mle ndani cha kufanya kilipiwe Tsh 300.
 
Watumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu kwenu ni miaka 3 hakuna ongezeko la mishahara na maslahi yenu yanazidi kukandamizwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom