Nimependa huduma hospitali ya macho ya Agarwal's Morocco

Kurunzi

JF-Expert Member
Jul 31, 2009
9,271
9,895
Niseme tu ndiyo hospital bora ya macho kwa hapa Jijini Dar, Costomer care wako parfect, mashine za kisasa, wahudumu very coperative unapata huduma za awali kabla ya kumuona Dr.
Wakat wa kusuburi huduma unapata chai, kahawa na huduma ya maji, usafi ni super very toilet safi.

Pia wanapokea bima ya taifa NHIF.

Kifupi jicho langu la upande wa kushoto nikiwa kwenye Computer muda mrefu huwa linauma kama kuna mchanga hivi, nimeenda CCBRT na Rabininsia nilishia kupewa madawa ambayo hayakutibu tatizo dawa hizo niambiwa nitumie macho yote wakati jicho moja ndiyo linashida.

Tofauti na Agerwals ingawa niliwaambia nimekuja kufanya checkup tu ya macho, waligundua kuwa jicho langu la kushoto linashida nikapewa dawa moja tu nikaambiwa nitumie kwa jicho moja lenye shida.

Hivi sasa naona nafuu kubwa sana.
 
Iko vizuri sana mkuu,anamadokta wazuri ila nivema ukaenda na hela angalau laki na nusu hadi laki 2......Maana kumuona Dr pale mara ya mwisho ilikuwa 40elf.

Ila nawashukuru sana walinivua miwani kwa huduma bora kabisa
 
Niseme tu ndiyo hospital bora ya macho kwa hapa Jijini Dar, Costomer care wako parfect, mashine za kisasa, wahudumu very coperative unapata huduma za awali kabla ya kumuua Dr.
Wakat wa kusuburi huduma unapata chai, kahawa na huduma ya maji, usafi ni super very toilet safi.

Pia wanapokea bima ya taifa NHIF.

Kifupi jicho langu la upande wa kushoto nikiwa kwenye Computer muda mrefu huwa linauma kama kuna mchanga hivi, nimeenda CCBRT na Rabininsia nilishia kupewa madawa ambayo hayakutibu tatizo dawa hizo niambiwa nitumie macho yote wakati jicho moja ndiyo linashida.

Tofauti na Agerwals ingawa niliwaambia nimekuja kufanya checkup tu ya macho, waligundua kuwa jicho langu la kushoto linashida nikapewa dawa moja tu nikaambiwa nitumie kwa jicho moja lenye shida.

Hivi sasa naona nafuu kubwa sana.
huko CCBRT wanatibu na fistula pia,ulifanya check up???anyway lipia tangazo
 
Niliwahi kutaka kwenda hii hospitali kutafuta miwani.

Sijui nilisahaulia wapi?
 
Niseme tu ndiyo hospital bora ya macho kwa hapa Jijini Dar, Costomer care wako parfect, mashine za kisasa, wahudumu very coperative unapata huduma za awali kabla ya kumuua Dr.
Wakat wa kusuburi huduma unapata chai, kahawa na huduma ya maji, usafi ni super very toilet safi.

Pia wanapokea bima ya taifa NHIF.

Kifupi jicho langu la upande wa kushoto nikiwa kwenye Computer muda mrefu huwa linauma kama kuna mchanga hivi, nimeenda CCBRT na Rabininsia nilishia kupewa madawa ambayo hayakutibu tatizo dawa hizo niambiwa nitumie macho yote wakati jicho moja ndiyo linashida.

Tofauti na Agerwals ingawa niliwaambia nimekuja kufanya checkup tu ya macho, waligundua kuwa jicho langu la kushoto linashida nikapewa dawa moja tu nikaambiwa nitumie kwa jicho moja lenye shida.

Hivi sasa naona nafuu kubwa sana.
Kumuua Dr tena
 
Ata bochi hospital wako vzr
Bochi imejaa ubabaishaji mwingi sana siku hizi.

Unaweza kwenda siku anayopaswa kuwepo specialist kwa mujibu wa time table yao, wanakwambia leo hatakuwepo njoo kesho say kuanzia saa mbili asubuhi.

Ukifika next day muda waliokwambia wanabadilisha tena njoo kuanzia saa tisa ndiyo Dokta atakuwepo.

Haya, mapokezi unaweza kuta wako wale wadada watatu lakini anayeandikisha wagonjwa ni mmoja tu, wengine wanakula hapo hapo, wengine wanachat n.k. Huku kuna foleni ya wagonjwa.

Ukiwapigia simu kutoa malalamiko hawapokei. Hospitali ya kipumbavu kabisa hii.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Bochi imejaa ubabaishaji mwingi sana siku hizi.

Unaweza kwenda siku anayopaswa kuwepo specialist kwa mujibu wa time table yao, wanakwambia leo hatakuwepo njoo kesho say kuanzia saa mbili asubuhi.

Ukifika next day muda waliokwambia wanabadilisha tena njoo kuanzia saa tisa ndiyo Dokta atakuwepo.

Haya, mapokezi unaweza kuta wako wale wadada watatu lakini anayeandikisha wagonjwa ni mmoja tu, wengine wanakula hapo hapo, wengine wanachat n.k. Huku kuna foleni ya wagonjwa.

Ukiwapigia simu kutoa malalamiko hawapokei. Hospitali ya kipumbavu kabisa hii.
Bochi mpo?
Shauri yenu. Mloganzila haiko mbali
 
Bochi imejaa ubabaishaji mwingi sana siku hizi.

Unaweza kwenda siku anayopaswa kuwepo specialist kwa mujibu wa time table yao, wanakwambia leo hatakuwepo njoo kesho say kuanzia saa mbili asubuhi.

Ukifika next day muda waliokwambia wanabadilisha tena njoo kuanzia saa tisa ndiyo Dokta atakuwepo.

Haya, mapokezi unaweza kuta wako wale wadada watatu lakini anayeandikisha wagonjwa ni mmoja tu, wengine wanakula hapo hapo, wengine wanachat n.k. Huku kuna foleni ya wagonjwa.

Ukiwapigia simu kutoa malalamiko hawapokei. Hospitali ya kipumbavu kabisa hii.
Bomoa bomoa iliwapitia kdg nadhan ndio imewayumbisha bt naamin watasimama tena, binafsi ndio hospital yangu na mama watoto na haijawahi kuniangusha.
 
Back
Top Bottom