GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,548
- 108,861
Kwa Hakika Napenda Sana Kutoa Shukran Zangu Kwa Wahariri Wakuu Wa Magazeti Haya Mawili MTANZANIA na The Citizen Toleo La Leo Tarehe 28 Mwezi May Mwaka 2014 Na Nampongeza Mno Mbunge Machachari Wenje na Wabunge Wengine Wote Waliomuunga Mkono Jana Wenje ktk Hotuba Ya Waziri Banabana Maembe wa Jimbo La Kuku na Mtama dhidi Ya Hila na Uonevu wa Taifa Teule La Barani Africa Linaloongozwa Na Comrade PK. Mkitaka Kujua Uhondo Kamili Kwanini Leo GENTAMYCINE Nimeyapenda Magazeti hayo Tajwa Jipatie Nakala Yako Sasa Hivi.
Nawasilisha.
Nawasilisha.