Nchi Kavu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 4,271
- 2,401
Nimepata wazo ila sina connection kwa mikoa yote. Mtaka baada ya kuwaapisha (au kabla) wakuu wa wilaya akatoa speech fulani yenye shibe sana. Hawakukosea kumuweka pale Dodoma.
Sasa wazo langu ni kuwa atokee mdau akusanye hotuba zote za wakuu wa mikoa wakati huu wa kuapishana ili tuwasikilize. Tutapata mengi toka kwao. Pia tutawatambua ni wepi watawala na wepi viongozi. Wepi wana power adolsence na wepi wana maturity. Wepi wa kusuluhishwa kesi zao na wepi wa kupewa complement.
Karibuni
Sasa wazo langu ni kuwa atokee mdau akusanye hotuba zote za wakuu wa mikoa wakati huu wa kuapishana ili tuwasikilize. Tutapata mengi toka kwao. Pia tutawatambua ni wepi watawala na wepi viongozi. Wepi wana power adolsence na wepi wana maturity. Wepi wa kusuluhishwa kesi zao na wepi wa kupewa complement.
Karibuni