Nimepata vidonda kama picha inavyoonesha. Je, ni ugonjwa gani huo?

Nyie madaktar wa lumumba nyie
Wewe acha kupotosha. Lini uliona fungus wanatibu na antibiotics? Pharmacology uliyosoma wewe ni kutoka wapi nyasa? Au manzese.

Tunachozungumza ni facts na uhalisia unapotosha tena sana Nilipita kimya ila nilipoona text yako ya ubishi ikabidi nikutafute na nijue unachokibishia ni nini kumbe ni wrong Dx plus wrong Rx then unajiita mtaalamu? Utatuulia watoto wetu? Kasome ndugu na ujue unachokibishia kama kina uhalisia.

Jukwaa la JF Doctor wanasoma na kupitia watu wengi humu, tujifunze incase unahisi hufahamu chochote kuhusu mada pita kimya au toa ushauri aonane au aende hospitali siyo kutujia na wrong Dx plus wrong Rx na unajisifu na kujinadi.
 
Because there's opening wound in this matter, erythromycin can work as anti staphylococcal antibiotics, in case the patient is itching Cetrizine might work as antihistamine,as long as we only see the picture without clacking the complain we cant be sure 100% with the treatment, cha msingi mgonjwa aeende kuonanana na wataalamu wa Tiba walio karibu naye.
 
Nimepata vidonda kama picha inavyoonyesha na bado sijaweza kwenda hospitali . Je, ni ugonjwa gn?

Ni vizuri ukafika kituo cha afya kwa matibabu na ushauri. Huu ni ugonjwa wa ngono unaitwa Chancroid, wahi matibabu maana penis itachakazwa mbaya na vidonda.
  • Azithromycin 1 g orally in a single dose
    OR
  • Ceftriaxone 250 mg IM in a single dose
    OR
  • Ciprofloxacin 500 mg orally twice a day for 3 days
    OR
  • Erythromycin base 500 mg orally three times a day for 7 days
 
Unamaanisha huuu.mhhhh
Screenshot_20210210-023252.jpg
 
Nimepata vidonda kama picha inavyoonyesha na bado sijaweza kwenda hospitali . Je, ni ugonjwa gani?....
aaaah tnx to god. Nimepona kabsaa vidonda vimekwisha pona vyote na sasa nipo salama. Yote ni baada ya kwenda hospital ila ilikua kipengere kidogo maana doctor alikuwa wa kike😅.

But ugonjwa ulikuwa sio kaswende wala gono ilikua ni bacteria ndo walio weza nipata na hii bila shaka imetokea baada ya kukutana na mwanamke cku 4 mbele ndo dalili zilianza onekana.

Aah my advice tuwe makini tu ndugu zangu maana hili ni balaa.

Asanten kwa ushauri kwa wenu.
 
Hello! Wadau aah huo ugonjwa ilikua ni bacteria tu so now nimepona asanteni Kwa ushaur wenu.
 
Back
Top Bottom