Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 8,266
- 8,479
Hiyo ngoma mkuu. Yaani ni dalili ya kwanza ya Ukimwi.Nimepata vidonda kama picha inavyoonyesha na bado cjaweza kwenda hospital . Je ni ugonjwa gn?
View attachment 1689802
Japo unaumwa nakutania mkuu. Nakushauri uwahi hospitali hili jambo sio dalili njema. Wahi matibabu.