Ha ha!Mimi sikushauri,
Binafsi nilijuta, mpk nikauza simu.
BTW Simu zinatofautiana..
Yes updates simetimes zinakuja na majanga.Mimi sikushauri,
Binafsi nilijuta, mpk nikauza simu.
BTW Simu zinatofautiana..
Aisee. Kweli kwenye chaji na mimi nimegundua hilo. Inaisha kwa haraka sanaYes updates simetimes zinakuja na majanga.
Mfano simu yangu the way ilivokuwa inakaa na charge kwenye Android 9 ni tofauti na ilivokuwa kwenye andoid 10 na ni tofauti na sasa ilivyo kwenye android 11.
Nafikiria tu kurudi android 10 kwa custom rom.
NdioHivi simu za TECNO siku hivi huwa zina updates?