Mika_Graphix
JF-Expert Member
- May 21, 2021
- 401
- 1,281
Aiseee...!!!🤔
Asante kwa ushauri! Umenifanya nifikirie kiumbe aliyekua tumboni!!Ushauri
Nenda cliniki utapewa ushauri jinsi yakutunza ujauzito, kuhusu kunya soda kila mara jitahidi kunya juisi na matunda kwa afya ya mwanao tumboni usimshindilie chemical zisizo na maana yeyote. Kama ujauzito wako ni chini ya miezi mitatu jiepushe na kazi ngumu za kuinama kama kudeki, kufua kwa muda mrefu, kupanda pikipiki, na kadhalika ili kujiepusha na kutoka kwa mimba.
Usitumie dawa yeyote bila kuruhusiwa na daktari hata kama ni pain killer mf. hedex ,nk
Kubali hali yako kuwa unakua mama sasa achana na second thoughts jiamini, Tena jiamini yote yanawezekana.
Mwisho Nenda clinic wewe na mwenza wako.
Asante ngoja nijipange tu!!Pole. Achana na mawazo focus kwny lishe na mazoezi madogo madogo. Mawazo yataathiri afya ya mtoto alie tumboni.
Kaanza ku ekspiriensMwenye mimba akili inakuwa sio yake!!😳😳wewe
Kaanza ku ekspiriens
Bado nawaza
Hongera sana changamoto zitaisha zenyewe mpk ikifika miezi minne utakuwa sawa.
Nay Wa Mitego hakukosea kusema mwaka huu mpaka magasho mtazaa kwa uchungu!
Baada ya Lil nas x naona gasho lingine limepata mimba
Hapana ile mbona ilishajulikana ni promo ya album yakeUliamini kabisa Lil nas Ana mimba?
Unawaza nini sasa tuletee huyo baby bila ya kukosa pleaseBado nawaza
SawaUnawaza nini sasa tuletee huyo baby bila ya kukosa please
Shukran!Wenzako wengi wanatafuta hiyo kitu hawapati,nenda .hospital ujue namna ya kuufikia muda wa kutotoa
@ShunieMaji umeyavulia nguo... Shurti uyaoge...
Kafanyaje??@Shunie
Nimemuita aje one mwongozo wako au nakosea bwana mkubwa?Kafanyaje??
Ngoja aje auone...Nimemuita aje one mwongozo wako au nakosea bwana mkubwa?
Abeeh@Shunie