TCRA wanatakiwa kuingilia kati huu mchezo, simu ninunue mimi, vocha niweke mimi, kwa matumizi ninayotaka mimi, halafu wao wanitumie uchafu wao kwenye simu yangu
Nimekutana nazo hapo mizani ya vigwanza ziko kwenye kontena wahi ubungo mawasiliano zitakuwa zinaelekea huko.Hivi Dkt Shika mpaka sasahivi hela zake hajifika toka Urusi pamoja na kwamba alilipa bima dollar mia moja?
OkNimekutana nazo hapo mizani ya vigwanza ziko kwenye kontena wahi ubungo mawasiliano zitakuwa zinaelekea huko.
S wafungue kiwanda kiwanda cha betting ielewekeWapuuze hao ni wezi,na mimi wamenitumia leo.
Vyuma vimekaza watu wanatafuta watoke vipi.