- Thread starter
- #21
Sio rahisi kama unavyofikiri,kumbuka tupo Tanzania nchi ambayo tu masikini(ila mafisadi ni matajiri) kwani basic needs za mtoto unayesema ni rahisi kumlea kuzipata ni ngumu labda uwahakikishie wana jf u fisadi pia.
hahah, msiogope maisha mazee. mtegemeeni Mungu, acheni kutegemea pesa. love can do and make everything. mambo makubwa sana duniani hayakuletwa na pesa bali moyo wa kujitolea na upendo. mind you guyz sio kila kitu ni pesa. mi nina uhakika malezi ni so simple na enjoyable kama kweli unao upendo.
NOW QUOTE ME THIS WAY:
a family is not a firm, you dont need financial capital. you only need a heart to establish and run. ooooh, glory to God!