FineForever
JF-Expert Member
- Apr 12, 2017
- 1,777
- 2,353
Chagua 1 Mkuu: kusuka au kunyoa.
SweetheartNa wewe tafuta wako.
Yangu iko hivi;Hahahaha hebu nielekezee kidogo ilikuwaje
Nina Miaka mingi tu ya kutosha kama 30 hivi. Sema sina experience sana ya MapenziUnaumri gani?
Nifundishe Fitina mkuu.. Nimalize kazi..hahahahaUnaonjeshwa asali unaamua kuchonga mzinga kabisa; jomba vp?!
Anyway, kama vp; piga fitina tu, hamna jinsi!!
Nikufundishe?!
Hahahaa...Mkoani ni Nje ya DarMkoani ndo wapi huko?
Wewe ni chokooo na unaudhaifuu mkubwa Sana,na udhaifu wako huo utakutafuna mpka unafukiwa kaburin pumbafu weweWakuu wanajamvi habari zenu?
Bila kupoteza muda na ukizingatia mmetoka katika msimu wa Pasaka basi nisiwachoshe, naomba niende moja kwa moja katika mada,
Mimi ni kijana(Me) amabae sijao bado. Sasa kutokana na kuwa kwe mahusiano kadhaa yasio kuwa na mafanikio sana kipindi cha nyuma nikiwa katika jiji la Dar es Salaam baadae nilihamishwa kikazi kwenda mkoani ambako ninaishi kwa sasa.
Nimekuja mkoani huku takribani miezi 5 kwa sasa, basi nilivyofika hapa kazini nikapata msichana ambae kwakweli nikaanza kumpenda (sijui kwa ajili ya ukaribu wetu?) Sasa wakati tunaanza nae mahusiano akaniambia anamsela wake ambae kamuacha mkoa mwingine.
Mimi nikamwambia isiwe kesi wacha tufanye yetu na kwa bahati mbaya au nzuri nikaendelea kumega tunda huku bado msichana akiwa anaongea na jamaa kwenye simu sometimes na mimi nikiwepo (sababu nafahamu).
Sasa issue hapa inakuja wapi? Sasa hivi nahisi nanza kumpenda na sioni dalili ya huyu msichana kumuacha mpenzi wake wa zamani kwa sababu hata akipata likizo kidgo huenda kumpelekea mshkaji. Ila ukimuuliza anadai eti ananipenda mimi. Wazee naombeni ushauri wenu maana hapa naona sasa nazidiwa nguvu mtoto wa kiumeni.
Nb: Tunaishi nyumba moja kwa miezi 2 sasa
Duh Dillema hio, fanya maamuzi magumuYangu iko hivi;
Yani Nilikua na Manzi zamani kidgo ka 6 Months zimepita tukazinguana then, tukaachana. Sasa nikaondoka mjini nikaja huku nikamkuta huyu manzi yupo kwenye ugomvi mkubwa sana na mshkaji ake so nika take chance ila akanipa tahadhari kuwa anamshikaji although hawapo kwenye goodterms. Hii ndio iliyonipa ujasiri zaidi wa kuwa nae, Lakini kadri siku zinavosonga naona jamaa bado yuko nae in tourch. Hapa Manzi wangu wa zamani nae bado huwa ananipigia simu mara chache thow naona niko in love na huyu mpya wa jamaaa.
Hahaha... JmnDuh kwa hio wewe ni nyumba ndogo kwa huyo mwanamke
Duh!...haya bwanaMkuu huko kwao na mshkaji huishi hukohuko. sasa anaaga anaenda kwao ila atakutana na mshkaji kwa hiyo nisipige simu mpaka anipigie