Mie siamini nywele tunazovaa,huwa zimetoka kichwani mwa mwengine...nadhani huu ni uzushi kuwadiscourage watu wasivae mawigi.....tupeni source ya hivyo viwanda vinavyonunua nywele za watu...mnh:dance:
[
WE PAULINE UNAISHI DUNIA YA WAPI? KUNA NYWELE SIKU HIZI NI ZA BINADAMU KABISA ZINAITWA HUMAN HAIR WANASHAVE NA KUZIUZA KWA HAIR DEALERS MOSTLY ZINATOKA INDIA, CHINA, BRAZIL NA ZINATENGENEZWA KWA STYLE YA MAWIG, LACE.
LAKINI ZIPO PIA ZINATOKA KWA DEAD PEOPLE, NA KUMETOKEA HAPA KARIBUNI KUNA WANAWAKE WENYE NYWELE NZURI WALIUAWA NA GANGS.
QUOTE=pauline;2047065]Mie siamini nywele tunazovaa,huwa zimetoka kichwani mwa mwengine...nadhani huu ni uzushi kuwadiscourage watu wasivae mawigi.....tupeni source ya hivyo viwanda vinavyonunua nywele za watu...mnh:dance:[/QUOTE]
Mie siamini nywele tunazovaa,huwa zimetoka kichwani mwa mwengine...nadhani huu ni uzushi kuwadiscourage watu wasivae mawigi.....tupeni source ya hivyo viwanda vinavyonunua nywele za watu...mnh:dance:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.