Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
wawake tuna taabu sisi! mara mikorogo, malimbwata, mawigi and the like.....
Yote haya kisa.....haya ndio dunia
Yote haya kisa.....haya ndio dunia
wengine wanauza mpaka hiyo miili yenyewe, mimi nadhani uzuri ni ule wa asili,wawake tuna taabu sisi! mara mikorogo, malimbwata, mawigi and the like.....
Yote haya kisa.....haya ndio dunia
Wanawake wavaao mawigi, na wale wanaojikoroga huwa hawajiamini uzuri wao wa asili.
Wanawake wavaao mawigi, na wale wanaojikoroga huwa hawajiamini uzuri wao wa asili.
mkuu hiyo hapa sio kwamba ni siri, hicho kipindi ulichoona wewe alikuwa wanaelezea kwa upande huo na hawakugusia za binadamu,
dada zetu weusi wanakana kwamba hawazai nywele za wafu, lakini wazungu wanakiri na wanapokwenda kununu wanauliza kabisa kipi ni kipi,
sema maduka ya bongo sio wa kweli, ila huu ni uchafa.
Ubongo kutumika kama dawa ni issue tofauti, dawa ni uhai lakini pia ni dawa gani hizo zinazotumia ubongo, dawa nyingi sinatumia mimea hachani kutanganya watu, sanyasi ya tiba hiko mbali sana kwa sasa, kila kitu wanatengeneza maabara kwa maana nyingine hata mimea wanayotumi wanaiotesha kichemicaly kwenye mahabara,
kama kuna mtu anatumia hayo manywele basi ujua unatembea na maiti kichwa wala hakuna kuzoga hapa.
Product rating
These stick tip extensions are some of the finest available! They are a perfect choice for anyone who loves to add volume and length by applying extensions through micro and shrink rings.
And our stick tip extensions are only 100% human remy hair! Which means you can wash, curl, straighten and even dye them to suit your own look!
This single pack contains 50 strands. For a full head look we do recommend purchasing a minimum of 3 to 4 packs (that's 150 to 200 strands)
Item Specifications:
Number of pieces: 50
Length of hair extensions: 20" (50cm)
Weight of hair: 0.8 grams per strand: 40 grams total
Type of hair: 100% Remy Human Hair
mbaya zaidi nilishawahi sikia mawigi mengine yanatoka kuzimu.
umesema ukweli mkuu,
Duh naomba ufafanuzi kidogo.
Bila kujali mawigi yanatoka wapi ukweli nikwamba kati ya mambo ya hovyo kuwahi kufanywa na wanawake wa kiafrika [Tanzania] nikuvaa mawigi ni aibu na kujishusha kupita maelezo.Wanawake wa kiafrika Mungu kawapendela sana kuanzaia ngozi,nywele hadi joto la mwili si masihara nawashangaa sana kwanini hamjiamini mkisuka nywele hakuna wa kuwafikia ebu achaneni na hayo mawigi.
Kweli wewe ni Vikwazo....mawigi na kucheat wapi na wapi?!ni kweli kuvaa wigi ni dalili ya kufulia kiurembo
na mwanaume anayetoka na mwananke mwenye wigi kama kamuoa basi ana mcheat
na kama ni mchumba huyo kaliwa
Kweli wewe ni Vikwazo....mawigi na kucheat wapi na wapi?!
jamani,kuna wadada hawajajaaliwa nywele hata kidogo,wasipoweka hayo mawigi unashindwa kutofautisha mama mwenye nyumba na hgeli!give them a break,will u! kama nanyi mnavyoongezea confidence kwa kupiga pamba, nice shoes na cologne za hatari, nasi pia tuna mambo yetu.