Mi nilishamalizaga kuoa zaman enz za kuoa bikra tena hakuna gem mpka mfunge ndoa,,wa siku hzi mnakulana miaka mitano ndio mnaenda kwa padre au shekhe,,huo si uhuni tuTutamsubiri huyo utakayembikiri wewe tuone
uhuni wa mwendokasiMi nilishamalizaga kuoa zaman enz za kuoa bikra tena hakuna gem mpka mfunge ndoa,,wa siku hzi mnakulana miaka mitano ndio mnaenda kwa padre au shekhe,,huo si uhuni tu
Unamlisha dagaa kila siku what do u expect??
unamuuliza wa nini waliotangulia kumtafuna?Remember,"what you dont know does not hurt you"Habari za majukumu ndugu zangu!
Napenda kuwapongeza waliofungua/anzisha huduma hii ya jamii forum!
Kwa wale ambao huuliza kama kweli unaweza kupata mwenza humu nawaambia jibu in NDIO kwa maana Mke wangu nilimpata hapa na kilichonifanya kuwa naye mbali na comments za watu kuwa hapa hakuna mume/Mke mwema in kuwa watu wa hapa ndio watu wa mtaa pia niwaulize swali moja kwani mnadhani wanaiweka post zao humu wananchi yao tofauti?
So wote waliopo humu ndo haohao tuko nao mtaa wakiwa na majina mengine tofauti na title zao. Kwa sasa nina mke niliyekuta naaye kupitia jf tuna Mtoto mmoja very bright maisha yanaenda and she loves me dearly.
But nina tatizo naomba wana jf mnisaidie tatizo language ni 'trauma experience'/psychological banging' nina maana kuwa japo nimeishi naye miaka minne sasa likija suala la kuwa alishawahi kuwa na mtu wake huko mji Mkuu wa Tz napata presha moyo wangu unaumia sana bcoz of my "ego"
Niliweza kuwa naye baada ya kupewa ushauri na mtu kuwa kuoa mtu asiye bikira si tatizo kwani tunaishi kizazi ambacho usafi wa moyo hakuna na kwa jinsi kulivyo na maendeleo ya science na technology basi in vigumu kumpata binti bikira kwa hiyo nilifanya kinyume na matarajio/imani yangu.
Sasa wana jf naombeni ushauri nitavumilia halii mpaka lini? kwa sababu hata akianza kunisimulia mahusiano na ex wake moyo wangu unapasua na kujilaumu sana kwamba kwanini nilooa mwanamke aliyejuliwa na mwanaume mwingine!?
Na anayomsifia kwamba alikuwa anakula kuku sana,alikuwa anampa pesa za kutosha,alikuwa analalanaye guest za luxury yaani naunia mno why this? Nifanyaje jamani ili niwe huru nisiwaze jinamizi hili?
usiusemee moyo kuna wanaume wameoa kwa michepuko kuku kila siku kwa mkewe dagaa kila siku.Maisha tu hayo mkuu, unadhani amependa iwe hivyo?
Tafuta pesa kwa bidii mpe maisha mazuri uwone kama atakusimulia tena story za kijinga jinga kama hizoNilimkanya but something deep inside he did for her manifest unconsciously
Katika vitu ninachohakikisha anapata my wife in lishe bora hata anashine kunakesi kadhaa hapa mtaa kuna wanaume wanamtaka kimapenzi so kuhusu menu mzee inasoma A to Zusiusemee moyo kuna wanaume wameoa kwa michepuko kuku kila siku kwa mkewe dagaa kila siku.
Kuna wanaume wao wanakula nyama choma bar ila kwake vi vituko tupu.
Kuna wanaume ikitokea akanunua nyama kwa bahati mbaya anahesabu nyama ole wake zipungue wewe acha tu
Huyu kweli pesa hana arafu kitandani 0 utalia sana nakwambianilivyoelewa huyu jamaa hana hela kuliko jamaa wa kwanza wa demu wake...pili atakuwa hamkuni vya kutosha mpaka demu anamkumbuka jamaa wake wa kwanza ....ndg kama huna mali jitume kitandani utamfunika mpinzani wako
na kuolewa na mwanaume ambaye hajaanzia kwako kuingiza mtalimbo?? inakuwaje hapo huwa mnatulia ee?Kuoa mwanamke asie bikra ni tatizo lisilosameheka,,,wakikutana na aliemkata anamlamba tena shauri yenu
ajitahidi kuzungusha maunoHuyu kweli pesa hana arafu kitandani 0 utalia sana nakwambia
She always confess that she never had a kind of refreshment I give hernilivyoelewa huyu jamaa hana hela kuliko jamaa wa kwanza wa demu wake...pili atakuwa hamkuni vya kutosha mpaka demu anamkumbuka jamaa wake wa kwanza ....ndg kama huna mali jitume kitandani utamfunika mpinzani wako
Hiyo bold kuna dingi mmoja ndio michezo yake, anafunga nyama zote sehemu moja na hamna mtu kuonja hadi akishiba ndipo wanakula mabaki... Sijawahi ona mjalaana kama huyu... Ila sijui wanaume wa sample hii wanaishije na familia...bt wahenga walisema kitanda usicholalia........usiusemee moyo kuna wanaume wameoa kwa michepuko kuku kila siku kwa mkewe dagaa kila siku.
Kuna wanaume wao wanakula nyama choma bar ila kwake vi vituko tupu.
Kuna wanaume ikitokea akanunua nyama kwa bahati mbaya anahesabu nyama ole wake zipungue wewe acha tu