1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,326
- 12,691
Alikuwa na stress ndo maan akasahau vituo,Siku nyingine unapofungua uzi jitahidi kuweka angalau paragraph pamoja na vituo. Nimejaribu kuformat uzi wako hapa chini ili usomeke vizuri
Habari za majukumu ndugu zangu!
Napenda kuwapongeza waliofungua/anzisha huduma hii ya jamii forum!
Kwa wale ambao huuliza kama kweli unaweza kupata mwenza humu nawaambia jibu in NDIO kwa maana mke wangu nilimpata hapa na kilichonifanya kuwa naye mbali na comments za watu kuwa hapa hakuna mume/mke mwema in kuwa watu wa hapa ndio watu wa mtaa pia niwaulize swali moja kwani mnadhani wanaiweka post zao humu wana nchi yao tofauti?
So wote waliopo humu ndo hao hao tuko nao mtaa wakiwa na majina mengine tofauti na title zao.
Kwa sasa nina mke niliyekutana naye kupitia jf tuna Mtoto mmoja very bright maisha yanaenda and she loves me dearly.
But nina tatizo naomba wana jf mnisaidie tatizo language ni 'trauma experience'/psychological banging' nina maana kuwa japo nimeishi naye miaka minne sasa likija suala la kuwa alishawahi kuwa na MPE wake huko mji mkuu wa Tz napata presha moyo wangu unaumia sana bcoz of my "ego" na niliweza kuwanaye baada ya kupewa ushauri na MTU kuwa kuoa MTU asiye bikira si tatizo kwani tunaishi kizazi ambacho usafi wa moyo hakuna na kwa jinsi kulivyo na maendeleo ya science na technology basi ni vigumu kumpata binti bikira kwa hiyo nilifanya kinyume na matarajio/imani yangu.
Sasa wana jf naombeni ushauri nitavumilia hali hii mpaka lini? kwa sababu hata akianza kunisumulia mahusiano na ex wake moyo wangu unapasua na kujilaumu sana kwamba kwanini nilooa mwanamke aliyejuliwa na mwanaume mwingine!?
Na anayomsifia kwamba alikuwa anakula kuku sana, alikuwa anampa pesa za kutosha, alikuwa analala naye guest za luxury yaani naumia mno why this?
Nifanyaje jamani ili niwe huru nisiwaze jinamizi hili?