nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,896
Mnaendeleaje na Majukumu wakubwa kiuhalisia Leo Nimekuwa Bored sana Maana Tangia nikiwa mdogo sio mtu mwenye kupenda kuvaa nguo za sare na Huo ndo udhaifu wangu.
Ilitokea Leo nilipanda daladala kabla sijaondoka nikajishauri ngoja nivae T shirt Moja Lenye Rangi ya Maroon alionipatia baby wangu kama zawadi.
Kilichonishtaabisha napanda gari la kuelekea Mbezi ndani ya gari watu wanne wote tumevaa Tshirt rangi ya maroon yaani nilipata mfadhaiko wa ghafla nikatamani hata nishuke gari na cha ajabu zaidi kuna jamaa mmoja alikuja kukaa siti moja na mimi.
Kiukweli sipendi kuvaa sare Maisha Yangu Yote!
Niambie nini Usichopenda Maishani!?
Ilitokea Leo nilipanda daladala kabla sijaondoka nikajishauri ngoja nivae T shirt Moja Lenye Rangi ya Maroon alionipatia baby wangu kama zawadi.
Kilichonishtaabisha napanda gari la kuelekea Mbezi ndani ya gari watu wanne wote tumevaa Tshirt rangi ya maroon yaani nilipata mfadhaiko wa ghafla nikatamani hata nishuke gari na cha ajabu zaidi kuna jamaa mmoja alikuja kukaa siti moja na mimi.
Kiukweli sipendi kuvaa sare Maisha Yangu Yote!
Niambie nini Usichopenda Maishani!?