Nimepata mbinu mpya ya kupunguza gharama ya tozo za miamala

Wanafunzi hawana hata madawati halafu unasikia kodi yako imetumika kuwajengea majumba na kuwanunulia wastaafu magari.
Watu ambao hawan tatizo lolote la kifedha ndio wanaongezewa michongo ya hela na kuzawadiwa mavitu ya gharama!😅

Wasionacho wanakamuliwa kichizi only in Tanzania
 
Wanafunzi hawana hata madawati halafu unasikia kodi yako imetumika kuwajengea majumba na kuwanunulia wastaafu magari.
Hili ndilo hasa tatizo. Unalipa kodi kumfanya Spika Ndugai asafiri kwenye ndege first class. Au viongozi wa serikali (ambao ni list ndefu sana) wasafiri kwenye business class za ndege. Au kununulia wakuu wa mikoa mashangingi. Ulaya viongozi wengi wanasafi na kuishi maisha ya kawaida kabisa.
 
Hili ndilo hasa tatizo. Unalipa kodi kumfanya Spika Ndugai asafiri kwenye ndege first class. Au viongozi wa serikali (ambao ni list ndefu sana) wasafiri kwenye business class za ndege. Au kununulia wakuu wa mikoa mashangingi. Ulaya viongozi wengi wanasafi na kuishi maisha ya kawaida kabisa.
Halafu sie ndio tunalipia hizo gharama kwa kuambiwa ni kodi za uzalendo.
 
Bila shaka Mungu ni mwema na ninawasalimu kwa jina la jamuhuri.

Nimeona nishee nanyi wenzangu katika kuwahabarisha kuhusu huduma tajwa hapo juu

Katika kusheherekea na kufurahia ushindi wa simba hapo jana niliona nipombeke kidogondipo nikajikuta mzigo kama unakata hivi mfukoni, ikasogea kwa wakala aliyekaribu yangu akanifundisha kaujanja flani hivi ambapo aliniambia nilipe kwa TigoPesa *150*01#(kwa wakati huo nilikuwa na pesa tigopesa) then unaenda namba 5 lipa kwa Tigopesa basi bwana nikajaribu kulipa kama laki moja hivi.

Unajua nini nilikiona, yaani makato ni shilingi mia nane(800). Sikuamini macho yangu hali iliyonifanya nirudi tena kutoa kiasi kama kile kile nilichokitoa pale mwanzo baadae wakati nilipotaka kuondoka na hali ikawa vile vile

Hivyo nikajikuta nimetoa sh.laki mbili(200,000)kwa makato ya Tsh.1600 wakati makato ya kawaida yangekuwa ni Tsh.16,480

Hii tunasema ahsante yule wakala kwa kunisanua nitakuwa ninakwenda kutoa pesa zangu kwake kamseleleko.
Unawapa siri tena? Umeharibu watakuja huko sasa..
 
Passive resistance inanguruma hadi vitongoji-non-violent opposition to authority, especially a refusal to cooperate with legal requirements.
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom