chrisbleez
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 735
- 1,208
Bila shaka Mungu ni mwema na ninawasalimu kwa jina la jamuhuri.
Nimeona nishee nanyi wenzangu katika kuwahabarisha kuhusu huduma tajwa hapo juu
Katika kusheherekea na kufurahia ushindi wa simba hapo jana niliona nipombeke kidogondipo nikajikuta mzigo kama unakata hivi mfukoni, ikasogea kwa wakala aliyekaribu yangu akanifundisha kaujanja flani hivi ambapo aliniambia nilipe kwa TigoPesa *150*01#(kwa wakati huo nilikuwa na pesa tigopesa) then unaenda namba 5 lipa kwa Tigopesa basi bwana nikajaribu kulipa kama laki moja hivi.
Unajua nini nilikiona, yaani makato ni shilingi mia nane(800). Sikuamini macho yangu hali iliyonifanya nirudi tena kutoa kiasi kama kile kile nilichokitoa pale mwanzo baadae wakati nilipotaka kuondoka na hali ikawa vile vile
Hivyo nikajikuta nimetoa sh.laki mbili(200,000)kwa makato ya Tsh.1600 wakati makato ya kawaida yangekuwa ni Tsh.16,480
Hii tunasema ahsante yule wakala kwa kunisanua nitakuwa ninakwenda kutoa pesa zangu kwake kamseleleko.
Nimeona nishee nanyi wenzangu katika kuwahabarisha kuhusu huduma tajwa hapo juu
Katika kusheherekea na kufurahia ushindi wa simba hapo jana niliona nipombeke kidogondipo nikajikuta mzigo kama unakata hivi mfukoni, ikasogea kwa wakala aliyekaribu yangu akanifundisha kaujanja flani hivi ambapo aliniambia nilipe kwa TigoPesa *150*01#(kwa wakati huo nilikuwa na pesa tigopesa) then unaenda namba 5 lipa kwa Tigopesa basi bwana nikajaribu kulipa kama laki moja hivi.
Unajua nini nilikiona, yaani makato ni shilingi mia nane(800). Sikuamini macho yangu hali iliyonifanya nirudi tena kutoa kiasi kama kile kile nilichokitoa pale mwanzo baadae wakati nilipotaka kuondoka na hali ikawa vile vile
Hivyo nikajikuta nimetoa sh.laki mbili(200,000)kwa makato ya Tsh.1600 wakati makato ya kawaida yangekuwa ni Tsh.16,480
Hii tunasema ahsante yule wakala kwa kunisanua nitakuwa ninakwenda kutoa pesa zangu kwake kamseleleko.