Joel Johansen
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 242
- 319
- Thread starter
- #21
Muache aumbukepale juu kajibiwa Nifah
hapa chini kajibu Miss Natafuta
au ndio yake mambo ya ID nyingi kumbe mtu mmoja?
Muache aumbukepale juu kajibiwa Nifah
hapa chini kajibu Miss Natafuta
au ndio yake mambo ya ID nyingi kumbe mtu mmoja?
ahsante nashukuru.labda duka la toys za magodoro.
Laki moja kesh unasemajeGodoro la Tanform Premium linauzwa Tsh 180,000/= bei ya hasara. Limetumika mwezi 1, bado jipya kabisa. Ni "5x6. Kwa mnaoelewa Godoro hili basi mtachangamkia fursa. Njoo inbox (SERIOUS BUYERS ONLY).l
Kama ni la spring kwa hiyo bei ni sawa ila kama ni la kawaida sio hiyo bei.hyo sio tanfoam
laki tatu mpaka tatu na nusu tena kwa wakala
ni SpringKama ni la spring kwa hiyo bei ni sawa ila kama ni la kawaida sio hiyo bei.
5x6Nchi ngapi
Chukua 140000Godoro la Tanform Premium linauzwa Tsh 180,000/= bei ya hasara. Limetumika mwezi 1, bado jipya kabisa. Ni "5x6. Kwa mnaoelewa Godoro hili basi mtachangamkia fursa. Njoo inbox (SERIOUS BUYERS ONLY).l
Chukua 140000 kma inawezekana ni PM kesho nikupe MzigoGodoro la Tanform Premium linauzwa Tsh 180,000/= bei ya hasara. Limetumika mwezi 1, bado jipya kabisa. Ni "5x6. Kwa mnaoelewa Godoro hili basi mtachangamkia fursa. Njoo inbox (SERIOUS BUYERS ONLY).l
Sio urefu na upana, anaulizia kimo, kuna inch 6,8, 10 n.k
8Sio urefu na upana, anaulizia kimo, kuna inch 6,8, 10 n.k