Nimepata kazi lakini mshahara ni mdogo mno

Kuna wapuuzi humu huwa mnajiita mamilionaire ila kupitia huu uzi mmeingia king na kutaja status mbaya na ya kikapuku iliyotawala maisha yenu .Wtf .Eti mtu anasema laki 100000 , hivi unaweza endesha maisha kwa hizo senti kweli ? , duh
 
Think big act big , laki 6 kitu gani kwa life la sasa ? . Hiyo pesa ni peanut tu ambayo kiuhalisia hutafanikiwa kuwa na saving yoyote na mwisho wa yote ni perpetual enslavement , wengi mna akili fupi za kitumwa , hamwazi nje ya box
 
Hamjanielewa shida sio kufanana na mtu, hapana. Shida ni kua nalipwa kiwango kidogo.
Niendelee kutafuta sehemu nyingine au nifanye hapo baada ya miezi kadhaa ni re negotiate na boss.
Naomba ushauri sio matusi
Endelea kutafuta kazi nyingine mkuu,huto tupesa ni kidogo mno kwa graduate kama wewe.
 
Hamjanielewa shida sio kufanana na mtu, hapana. Shida ni kua nalipwa kiwango kidogo.
Niendelee kutafuta sehemu nyingine au nifanye hapo baada ya miezi kadhaa ni re negotiate na boss.
Naomba ushauri sio matusi
ulimuuliza huyo Kijana kazi anayoifanya
mbona mishahara mingi tu ipo lakini ukubaliane na Mabaharia? wauza unga
Mdogo wetu ridhika na huo mshahara ni hallali kabisa haujatakatishwa kwa miaka hii ya hapa kazi
Baada ya kutoka pale nilikua nimefurahi sana finally nimepata kazi lakini kila nikifikiria sina amani. I feel stupid. Nimeongea na rafiki yangu ameniambia yeye kapata kazi analipwa 1.5M hapo ndo nimechangamyikiwa kabisa. Nafikiria sijui nipotezee nisirudi pale. Sielewi cha kufanya. Kazi nataka lakini pesa ndogo. Sijui nifanye nini.
 
Wewe ni mpumbavu nami naomba nikazie hapo, wenzio wanatafuta mahali pa internship wapewe angalau 2000 ya nauli kwa siku, na hawapati. Alafu wewe umepata kazi ya kudumu ya mshahara wa laki 600k, na huna majukumu yyt unakula kwa kengele, alafu unakuja kutupandisha visukari watu wenye ndevu za matako bila sababu, maana yake nn?

Aisee umewaghadhibisha wengi sana, sababu kuna watu na familia zao zenye watoto wanapokea mshahara chini ya huo, na maisha yanasonga.

Yafaa uombe mods waufute huu uzi au, utuombe radhi mkuu.
Aisee
 
Jamaa kafuta Jamii forum kabisaa Wadau kweli maisha magumu maana mmemchamba mpaka kakimbia aisee..
 
Hamjanielewa shida sio kufanana na mtu, hapana. Shida ni kua nalipwa kiwango kidogo.
Niendelee kutafuta sehemu nyingine au nifanye hapo baada ya miezi kadhaa ni re negotiate na boss.
Naomba ushauri sio matusi

Acha kazi bruh ukatafute pengine
 
Shida zako ni zako .Don't inflict your own miserable life style into others lives . Usidhani kila mtu ana ndoto za kuishi kimaskini kama wewe . Kama hukuwa na cha kumshauri ni bora usingeandika upupu kama huu ulioandika . Pumbavu

Mkuu how much are you making per month?approximately
 
Habarini humu ndani

Kama nimekosea jukwaa mtanisamehe. Mimi ni fresh graduate. Nimemaliza chuo mwaka jana. Katika mishe za kutafuta kazi nimehangaika sana. Nime apply sehemu kama 10+ hakuna hata moja nilioitwa interview.

Basi hivi karibuni kuna dada alinielekeza mahali akaniambia hiyo sehemu kazi zipo ila wanalipa hela kidogo sana nenda pale muulizie flani huyo ndo anaajiri hapo.. Nikaenda kupeleka documents zangu hata hakufungua yule jamaa. Baada ya kuuliza chuo nlichosoma basi akaniuliza unataka mshahara wa shillingi ngapi. I asked how much do you offer akasema Tsh 600,000 kiwango ambacho ni kidogo zaidi ya salary scale ya serikali (tsh 980,000) Kwa kua sijui ni uoga au ni desperation basi nikakubali. Akaniambia baada ya kuweka mambo yangu sawa nirudi.

Baada ya kutoka pale nilikua nimefurahi sana finally nimepata kazi lakini kila nikifikiria sina amani. I feel stupid. Nimeongea na rafiki yangu ameniambia yeye kapata kazi analipwa 1.5M hapo ndo nimechangamyikiwa kabisa. Nafikiria sijui nipotezee nisirudi pale. Sielewi cha kufanya. Kazi nataka lakini pesa ndogo. Sijui nifanye nini.
UONGO OG
 
huo ni uongo, kwa hali ya nchi ilivuo sasa,watu hawaangalii tena elimu, wala elimu naona maana, cha maana n ela, uyu jamaa n muongo
 
Kupata kazi nzuri ukiwa home ni ngumu saana,

Cha kufaya, anza kazi then endelea kuapply kwingine. ukipata pazuri zaidi utaacha hapo na kwenda huko kwuzuri zaidi.

In mean time, utakuwa unajenga CV na kupata hela ya kuombea kazi nzuri zaidi
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom