Nimepata kazi kwenye NGO, nianze na kipi?

Wakuu nimepata kazi katika NGO fulani ambayo Roughly nitakunja kama 1m hivi take home niko around 20s age. Sitegemewi na familia maana bado wana kazi, nilisoma uzi fulani wa kijana mwenzangu ambaye alipata kazi katika umri mdogo tu na kujikuta anatumbukia kwenye starehe sitaki kufanya makosa

Wakuu nipe ushauri nifanye nini katika miaka mitano ambapo plan zangu ni kuacha kazi baada ya miaka kumi, makaka, Mababa, baba na mama nishaurini Nianzie wapi mdogo wenu sina ushamba kiivo na starehe nina exposure kimtindo

Mlionitangulia nahitaji kujifunza kupitia nyinyi

Jinsia tafadhali
 
Kwenye iyo ml 1..tenga laki 3 special kwa kubet weka elfu 50 kwa match 2 uvune laki 3 jumla una kua na laki 5+ faida

..nipo ndotoni niki amka tamalizia
 
Hawa vijana wamekuwaje hawana maono hivi, wewe ni hasara kwa taifa, yani kupata 1m ndo unadhani umemiliki dunia sasa ungekuwa dola 2000 si ungevua nguo WTF.
 
Kuna watu humu jf wanajikutaga matawiiii? Mtu naomba ushauri, km unao mpatie huna sepa ,,acha wanaoweza mshauri washauri. Ndo maana hatuendelei kwasababu ya wivu na kutokutumia maarifa tuliyonayo.

Kijana hongera kwa ajira, mshirikishe Mungu katika mipango yako na ukumbuke ku "save" pesa yako hasa km hujawa na mipango.
 
Wakuu nimepata kazi katika NGO fulani ambayo Roughly nitakunja kama 1m hivi take home niko around 20s age. Sitegemewi na familia maana bado wana kazi, nilisoma uzi fulani wa kijana mwenzangu ambaye alipata kazi katika umri mdogo tu na kujikuta anatumbukia kwenye starehe sitaki kufanya makosa

Wakuu nipe ushauri nifanye nini katika miaka mitano ambapo plan zangu ni kuacha kazi baada ya miaka kumi, makaka, Mababa, baba na mama nishaurini Nianzie wapi mdogo wenu sina ushamba kiivo na starehe nina exposure kimtindo

Mlionitangulia nahitaji kujifunza kupitia nyinyi
Focus kwenye kutunza pesa kwa sasa na ujifunze namna ya kuja kutengeneza vyanzo vingine vya mapato tofaut na kazi unayofanya. Business opportunities ni nyingi mno, binafsi niliajiriwa, worked for five years and left, sasa hivi nafanya shughul zangu mwenyewe. All the best
 
Wakuu nimepata kazi katika NGO fulani ambayo Roughly nitakunja kama 1m hivi take home niko around 20s age. Sitegemewi na familia maana bado wana kazi, nilisoma uzi fulani wa kijana mwenzangu ambaye alipata kazi katika umri mdogo tu na kujikuta anatumbukia kwenye starehe sitaki kufanya makosa

Wakuu nipe ushauri nifanye nini katika miaka mitano ambapo plan zangu ni kuacha kazi baada ya miaka kumi, makaka, Mababa, baba na mama nishaurini Nianzie wapi mdogo wenu sina ushamba kiivo na starehe nina exposure kimtindo

Mlionitangulia nahitaji kujifunza kupitia nyinyi
Jitahidi kusave kila mwezi, atlist 500,000, baada ya muda fulani utakua na pesa ya kutosha ununue kiwanja ujenge mjengo wa maana, baada ya hapo nunua kausafiri kako, by the time unafika 35 umeshajitegemea kwa kila kitu unavuta demu wa maana mwenye msambwanda wa kutosha unajikia taratibu unaanzosha familia
 
Haya ndo madhara makubwa aliyoyafanya meko vijana wadogo tayari washachanganyikiwa, na kutokana na kukosa kazi vijana wanakuwa na msongo wa mawazo, kijana tafuta kazi yoyote ile hata kubeba mizigo Kariakoo pale.

Achana na hizi ndoto zako za JF.
Baba, mbona kama wewe ndio unao msongo? Hebu soma tena uzi umuelewe dogo, umsaidie.
 
Wakuu nimepata kazi katika NGO fulani ambayo Roughly nitakunja kama 1m hivi take home niko around 20s age. Sitegemewi na familia maana bado wana kazi, nilisoma uzi fulani wa kijana mwenzangu ambaye alipata kazi katika umri mdogo tu na kujikuta anatumbukia kwenye starehe sitaki kufanya makosa

Wakuu nipe ushauri nifanye nini katika miaka mitano ambapo plan zangu ni kuacha kazi baada ya miaka kumi, makaka, Mababa, baba na mama nishaurini Nianzie wapi mdogo wenu sina ushamba kiivo na starehe nina exposure kimtindo

Mlionitangulia nahitaji kujifunza kupitia nyinyi
Starehe haikuzuii kuwa na maendeleo
 
Hio miaka 20 ni ya kula Sana starehe maisha yapo tu angalau ukifika miaka 30 unaanza maendeleo
 
Back
Top Bottom