Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Jana nimepeta barua ya kuanza kazi Dar es Salaam kwenye kampuni kubwa ya kimataifa yenye ofisi yake hapo mjini kwenye hayo maghorofa Samora avenue.
Natakiwa nihamie haraka iwezekanavyo, je nitapata nyumba ya kuishi hapo mjini kati maana sitaki kuishi sehemu ya kupambana na mabasi kila alfajiri, nataka nitembee tu kwenda ofisini.
Budget ya nyumba ya chumba na sebule self na jiko sh. 650,000 isizidi hapo au iwe chini ya hapo kwa mwezi pamoja na umeme na maji inclusive.
Isiwe na wahindi wengi wachache sawa, iwe na standby generator, iwe na parking ambayo ni safe ambaye itaweza kuenea gari aina ya subaru wagon ni ndefu kidogo sio fupi kama starlet.
PM kwa anayejua.
Natakiwa nihamie haraka iwezekanavyo, je nitapata nyumba ya kuishi hapo mjini kati maana sitaki kuishi sehemu ya kupambana na mabasi kila alfajiri, nataka nitembee tu kwenda ofisini.
Budget ya nyumba ya chumba na sebule self na jiko sh. 650,000 isizidi hapo au iwe chini ya hapo kwa mwezi pamoja na umeme na maji inclusive.
Isiwe na wahindi wengi wachache sawa, iwe na standby generator, iwe na parking ambayo ni safe ambaye itaweza kuenea gari aina ya subaru wagon ni ndefu kidogo sio fupi kama starlet.
PM kwa anayejua.