Habar za leo wanafamilia ya jamii forums
Nimepata kamtaji kadogo kwa kudunduliza dunduliza nkawaza kufungua duka la nafaka.... nimepata sehem hapa hapa dareslam ila nahitaji kupata connection ya sehem ambako naweza pata mzigo (mchele, mahindi, maharage, na nafaka nyingne) kwa bei nzuri ya jumla ili na mm niuze nipatamo kafaida!!
Please nisaidien mdogo wenu
Nimepata kamtaji kadogo kwa kudunduliza dunduliza nkawaza kufungua duka la nafaka.... nimepata sehem hapa hapa dareslam ila nahitaji kupata connection ya sehem ambako naweza pata mzigo (mchele, mahindi, maharage, na nafaka nyingne) kwa bei nzuri ya jumla ili na mm niuze nipatamo kafaida!!
Please nisaidien mdogo wenu