Habari ya leo wakuu?
Samahani,siku za nyuma nilipost thread ya kutafuta kazi au kibarua sikuweza kufanikiwa ila kuna eneo la biashara ya jikoni nimelipata na pako vizuri sana,aliye kuwepo mwanzo amesema alikuwa ana pata faida ya 20000 kwa siku hapo ni baada ya kuwa lipa wafanyakazi wake wote,kilicho mfanya afunge nikutokana na kwamba alimuacha mtu pale nayeye akaendelea na shughuri zake zingine maana ni muajiriwa serikalini,sasa alipo ondoka walikubaliana kuwa apewe hela kila wiki matokeo yake yule mfanya kazi wake akakimbia na pesa.
Kwahiyo eneo liko vizuri hata kimazingira,makubaliano yetu yalikuwa ni kuniuzia vyombo vyote vya jikoni ambapo pamoja na mtaji inacost 1000000 (1M).
Naomba kama mtu anaweza kunisaidia hata kwa mkopo baada ya miezi miwili na nusu ntakuwa nime maliza kumlipa,naomba kwa anaye guswa kuni fadhili kwenye hii biashara anisaidie na Mungu akubariki,maana nime omba kazi na vibarua kila mahari nime kosa nime fika mpaka viwandani lakini nako majibu nnayo pewa nikuwa msimu huu wa mvua siwezi kupata kazi maana hata waliopo wanapunguzwa,hivyo wazo langu nimeamua kujiajiri ila mtaji sina.
Mimi naishi Mbeya wakuu.
Nashukuru mbarikiwe nyote kwa ushirikiano hata wakusoma tu hii thread naweza kupata hata mawazo mazuri.
Samahani,siku za nyuma nilipost thread ya kutafuta kazi au kibarua sikuweza kufanikiwa ila kuna eneo la biashara ya jikoni nimelipata na pako vizuri sana,aliye kuwepo mwanzo amesema alikuwa ana pata faida ya 20000 kwa siku hapo ni baada ya kuwa lipa wafanyakazi wake wote,kilicho mfanya afunge nikutokana na kwamba alimuacha mtu pale nayeye akaendelea na shughuri zake zingine maana ni muajiriwa serikalini,sasa alipo ondoka walikubaliana kuwa apewe hela kila wiki matokeo yake yule mfanya kazi wake akakimbia na pesa.
Kwahiyo eneo liko vizuri hata kimazingira,makubaliano yetu yalikuwa ni kuniuzia vyombo vyote vya jikoni ambapo pamoja na mtaji inacost 1000000 (1M).
Naomba kama mtu anaweza kunisaidia hata kwa mkopo baada ya miezi miwili na nusu ntakuwa nime maliza kumlipa,naomba kwa anaye guswa kuni fadhili kwenye hii biashara anisaidie na Mungu akubariki,maana nime omba kazi na vibarua kila mahari nime kosa nime fika mpaka viwandani lakini nako majibu nnayo pewa nikuwa msimu huu wa mvua siwezi kupata kazi maana hata waliopo wanapunguzwa,hivyo wazo langu nimeamua kujiajiri ila mtaji sina.
Mimi naishi Mbeya wakuu.
Nashukuru mbarikiwe nyote kwa ushirikiano hata wakusoma tu hii thread naweza kupata hata mawazo mazuri.