#COVID19 Nimepata chanjo ya COVID-19

GREAT INVESTOR

Senior Member
Nov 13, 2018
128
295
Kwema wadau,

Kwa hiari yangu, bila kushurutishwa au kupata ushawishi wowote kutoka kwa mtu, nimechukua chanjo ya Covid-19.

Kuna aina nyingi za chanjo, ila mimi nimechukua Johnson & Johnson (sina uhakika na spellings)

Kwanini Johnson & Johnson, ni kwasababu mimi ni muoga wa sindano sana sana, ivyo ukichukua izo haina nyingine za chanjo lazima uchomwe mara 2 kumaliza dozi. Unachomwa alafu unasubri wiki 2 or 3 ukachomwe tena kumaliza dozi.

Johson & Johson unachomwa mara moja tu umemaliza, ila efficient yake n 66% wakati nyingine ni mpaka 90%.

Lengo kuu la mimi kupata hii chanjo, kwanza ni kupata kile ki-card ili niwe huru kusafiri, tunapoelekea vitahitajika ukiwa una cross boundaries.
 
Watanzania wajuaji sana kumbe kichwani hamnazo.
Chanjo zingine ok.
Imefika hatua ya chanjo ya corona wameanza mara eeeh mzungu anataka kutuua
Chanjo ina faida gani kama anayechanjwa bado yupo hatarini kuambukizwa corona?

Mbaya zaidi ni majaribio

Hilo ni tatizo kubwa sana.

Mimi ni baharia tena nipo ughaibuni, kampuni imeaniambia nichaguwe kuchanjwa au kurudishwa nyumbani.

Nimewaambiya wanipe muda nafikiria.

Chanjo sio jambo rahisi kama unavyofikiria

Especially chanjo ambayo haina uhakika.

Unaweza ukawa unfit milele.
 
Mkuu chanjwa tu ili watoto wapate chochote kitu maana hata ukikataa mbeleni huko hutaweza kupata huduma yoyote bila chanjo..na itakulazimu tu kuchanjwa yaani.. SHETANI YUPO KAZINI...
Chanjo ina faida gani kama anayechanjwa bado yupo hatarini kuambukizwa corona?

Mbaya zaidi ni majaribio,,
Hilo ni tatizo kubwa sana.

Mimi ni baharia tena nipo ughaibuni,
,,kampuni imeaniambia nichaguwe kuchanjwa au kurudishwa nyumbani.

Nimewaambiya wanipe muda nafikiria.

Chanjo sio jambo rahisi kama unavyofikiria,,
Especially chanjo ambayo haina uhakika.
Unaweza ukawa unfit milele.
 
Kwema wadau,

Kwa hiari yangu, bila kushurutishwa au kupata ushawishi wowote kutoka kwa mtu, nimechukua chanjo ya covid-19.

Kuna aina nyingi za chanjo, ila mimi nimechukua johnson and johnson(sina uhakika na spellings)

Kwanini Johnson and Johson, ni kwasababu mimi ni muoga wa sindano sana sana, ivyo ukichukua izo haina nyingine za chanjo lazima uchomwe mara 2 kumaliza dozi. Unachomwa alafu unasubri wiki 2 or 3 ukachomwe tena kumaliza dozi.

Johson and Johson unachomwa mara moja tu umemaliza, ila efficient yake n 66% wakati nyingine ni mpaka 90%.

Lengo kuu la mimi kupata hii chanjo, kwanza ni kupata kile ki card ili niwe huru kusafiri, tunapoelekea vitahitajika ukiwa una cross boundaries
 
mkuu hiyo chanjo umeenda kuchomwa wapi hapa tanzania?
Gharama yake ipoje?
na je nikisha chomwa hiyo sindano naweza safiri safari ngapi?
 
Mkuu chanjwa tu ili watoto wapate chochote kitu maana hata ukikataa mbeleni huko hutaweza kupata huduma yoyote bila chanjo..na itakulazimu tu kuchanjwa yaani.. SHETANI YUPO KAZINI...
Mkuu kila mtu anasema lake kuhusu chanjo.
Ni kweli nikikataa naweza ikawa ndy ticket ya kurudi nyumbani na watoto watakosa ugali.

Lakini vipi nikichanja na kuwa un fit milele ?
Hapo kuna kupata hata mkate kweli?

Mbaya zaidi nasikia hata dushe linalala milele ,maana yake vyombo havipigi mziki milele.

Ngoma bado ngumu mkuu...
 
Chanjo ina faida gani kama anayechanjwa bado yupo hatarini kuambukizwa corona?

Mbaya zaidi ni majaribio

Hilo ni tatizo kubwa sana.

Mimi ni baharia tena nipo ughaibuni, kampuni imeaniambia nichaguwe kuchanjwa au kurudishwa nyumbani.

Nimewaambiya wanipe muda nafikiria.

Chanjo sio jambo rahisi kama unavyofikiria

Especially chanjo ambayo haina uhakika.

Unaweza ukawa unfit milele.
Nimesoma paragraph yako ya kwanza tu.. Nimejua wewe ni layman kwenye eneo hilo..
Sijaendelea na story yako.

Unajua kwanini watu wanapata kifua kikuu wakati walishachomwa chanjo??

Au labda, unajua faida kuu ya chanjo?
 
Kwema wadau,

Kwa hiari yangu, bila kushurutishwa au kupata ushawishi wowote kutoka kwa mtu, nimechukua chanjo ya Covid-19.

Kuna aina nyingi za chanjo, ila mimi nimechukua Johnson & Johnson (sina uhakika na spellings)

Kwanini Johnson & Johnson, ni kwasababu mimi ni muoga wa sindano sana sana, ivyo ukichukua izo haina nyingine za chanjo lazima uchomwe mara 2 kumaliza dozi. Unachomwa alafu unasubri wiki 2 or 3 ukachomwe tena kumaliza dozi.

Johson & Johson unachomwa mara moja tu umemaliza, ila efficient yake n 66% wakati nyingine ni mpaka 90%.

Lengo kuu la mimi kupata hii chanjo, kwanza ni kupata kile ki-card ili niwe huru kusafiri, tunapoelekea vitahitajika ukiwa una cross boundaries.
Umeshageuzwa toi!
tayari kuna watu wengine wanaweza ku control hiyo body...
nakutania ww hongera
 
Kwema wadau,

Kwa hiari yangu, bila kushurutishwa au kupata ushawishi wowote kutoka kwa mtu, nimechukua chanjo ya Covid-19.

Kuna aina nyingi za chanjo, ila mimi nimechukua Johnson & Johnson (sina uhakika na spellings)

Kwanini Johnson & Johnson, ni kwasababu mimi ni muoga wa sindano sana sana, ivyo ukichukua izo haina nyingine za chanjo lazima uchomwe mara 2 kumaliza dozi. Unachomwa alafu unasubri wiki 2 or 3 ukachomwe tena kumaliza dozi.

Johson & Johson unachomwa mara moja tu umemaliza, ila efficient yake n 66% wakati nyingine ni mpaka 90%.

Lengo kuu la mimi kupata hii chanjo, kwanza ni kupata kile ki-card ili niwe huru kusafiri, tunapoelekea vitahitajika ukiwa una cross boundaries.
... inapatikana hospitali gani? Bei?
 
Back
Top Bottom