Wakuu,
Leo asunuhi nimepata chanjo ya COVID 19 aina ya Johnson & Johnson; single dozi.
Kwakweli najiskia kujiamini sana kwenye vita dhidi ya COVID. Najiona ni mzima zaidi na kama vile hii vita nimeishinda.
Nimepata vi-contraindications kidogo kama vile kichefuchefu, mdomo kuwa mchungu na maumivu ya joints...nilirudi home nikalala 3 hrs.
Hali inaisha na ninaona nakua imara.
Dokta alinielimisha kabla kunichanja akasema hii chanjo ni ya kweli na serikali kupitia wataalam wake imezifanyia "GENOME ANALYSIS" na kubaini ni kweli wanachosema 'wazungu' ndicho kilichomo, na kweli kinatibu. Sikuelewa vizuri masuala ya kitaalam zaidi hayo.
Nilijisemea moyoni: uvumi unasema chanjo itaniua...lakini pia nafajamu corona inaweza kuniua. Nika conclude bora nife kwa chanjo kuliko kwa corona pasipo kupata chanjo.
Error type 1 vs. error type 2
👍👊👊Wakuu,
Leo asunuhi nimepata chanjo ya COVID 19 aina ya Johnson & Johnson; single dozi.
Kwakweli najiskia kujiamini sana kwenye vita dhidi ya COVID. Najiona ni mzima zaidi na kama vile hii vita nimeishinda.
Nimepata vi-contraindications kidogo kama vile kichefuchefu, mdomo kuwa mchungu na maumivu ya joints...nilirudi home nikalala 3 hrs.
Hali inaisha na ninaona nakua imara.
Dokta alinielimisha kabla kunichanja akasema hii chanjo ni ya kweli na serikali kupitia wataalam wake imezifanyia "GENOME ANALYSIS" na kubaini ni kweli wanachosema 'wazungu' ndicho kilichomo, na kweli kinatibu. Sikuelewa vizuri masuala ya kitaalam zaidi hayo.
Nilijisemea moyoni: uvumi unasema chanjo itaniua...lakini pia nafajamu corona inaweza kuniua. Nika conclude bora nife kwa chanjo kuliko kwa corona pasipo kupata chanjo.
Error type 1 vs. error type 2
Na hawa ndio watapoteza kinga kwa kasi sana,sababu ya mshtuko baada ya kugundua wana maambukizi na chanjo walipewa.Bora kufa kwa corona ukiwa huna chanjo sio kufa kwa corona huku una chanjo, huo ndio utaahira mkubwa.
ngoja tuona ipi inaibuka mshindiError type 1 vs. error type 2
Red India's ni wakulima wa mahindi ya kulishia nguruwe.Ni kweli hawawezi kuangamiza Afirca maana wanaihitaji. Kama walivyohitaji Marekani ya kaskazni, austraria n.k.
Unaweza kuniambia wenyeji wa America ya kaskazini na Australia wako wapi?
Upe data za deaths kwa waliokua vaccinated vs. Waaiokua vaccinated. Interest ya chanjo ipo hapo. Chanjo haizuii usipate covid inakupa uwezo wa kupambana nayoCDC: 74% Of People Infected in Massachusetts COVID-19 Outbreak Were Vaccinated
A new CDC report found that nearly three-fourths of people who were infected in a COVID-19 outbreak in Massachusetts earlier this summer were fully vaccinated.link.verywellhealth.com
Mimi naona hii ni alama ya MPINGA KRISTO 666.Wakuu,
Leo asunuhi nimepata chanjo ya COVID 19 aina ya Johnson & Johnson; single dozi.
Kwakweli najiskia kujiamini sana kwenye vita dhidi ya COVID. Najiona ni mzima zaidi na kama vile hii vita nimeishinda.
Nimepata vi-contraindications kidogo kama vile kichefuchefu, mdomo kuwa mchungu na maumivu ya joints...nilirudi home nikalala 3 hrs.
Hali inaisha na ninaona nakua imara.
Dokta alinielimisha kabla kunichanja akasema hii chanjo ni ya kweli na serikali kupitia wataalam wake imezifanyia "GENOME ANALYSIS" na kubaini ni kweli wanachosema 'wazungu' ndicho kilichomo, na kweli kinatibu. Sikuelewa vizuri masuala ya kitaalam zaidi hayo.
Nilijisemea moyoni: uvumi unasema chanjo itaniua...lakini pia nafajamu corona inaweza kuniua. Nika conclude bora nife kwa chanjo kuliko kwa corona pasipo kupata chanjo.
Error type 1 vs. error type 2