#COVID19 Nimepata chanjo ya Covid-19 aina ya Johnson & Johnson, je wewe?

Ukiwa na akili timamu huwezi kuwasikiliza CCM hata kidogo, watakupotosha pakubwa sana, kweli CCM ndio wa kugombea chanjo kimya kimya Leo? Duh
 
Wakuu,

Leo asunuhi nimepata chanjo ya COVID 19 aina ya Johnson & Johnson; single dozi.

Kwakweli najiskia kujiamini sana kwenye vita dhidi ya COVID. Najiona ni mzima zaidi na kama vile hii vita nimeishinda.

Nimepata vi-contraindications kidogo kama vile kichefuchefu, mdomo kuwa mchungu na maumivu ya joints...nilirudi home nikalala 3 hrs.

Hali inaisha na ninaona nakua imara.

Dokta alinielimisha kabla kunichanja akasema hii chanjo ni ya kweli na serikali kupitia wataalam wake imezifanyia "GENOME ANALYSIS" na kubaini ni kweli wanachosema 'wazungu' ndicho kilichomo, na kweli kinatibu. Sikuelewa vizuri masuala ya kitaalam zaidi hayo.

Nilijisemea moyoni: uvumi unasema chanjo itaniua...lakini pia nafajamu corona inaweza kuniua. Nika conclude bora nife kwa chanjo kuliko kwa corona pasipo kupata chanjo.

Error type 1 vs. error type 2

 
Wakuu,

Leo asunuhi nimepata chanjo ya COVID 19 aina ya Johnson & Johnson; single dozi.

Kwakweli najiskia kujiamini sana kwenye vita dhidi ya COVID. Najiona ni mzima zaidi na kama vile hii vita nimeishinda.

Nimepata vi-contraindications kidogo kama vile kichefuchefu, mdomo kuwa mchungu na maumivu ya joints...nilirudi home nikalala 3 hrs.

Hali inaisha na ninaona nakua imara.

Dokta alinielimisha kabla kunichanja akasema hii chanjo ni ya kweli na serikali kupitia wataalam wake imezifanyia "GENOME ANALYSIS" na kubaini ni kweli wanachosema 'wazungu' ndicho kilichomo, na kweli kinatibu. Sikuelewa vizuri masuala ya kitaalam zaidi hayo.

Nilijisemea moyoni: uvumi unasema chanjo itaniua...lakini pia nafajamu corona inaweza kuniua. Nika conclude bora nife kwa chanjo kuliko kwa corona pasipo kupata chanjo.

Error type 1 vs. error type 2
👍👊👊
 
Bora kufa kwa corona ukiwa huna chanjo sio kufa kwa corona huku una chanjo, huo ndio utaahira mkubwa.
Na hawa ndio watapoteza kinga kwa kasi sana,sababu ya mshtuko baada ya kugundua wana maambukizi na chanjo walipewa.
 
Chanjo mwili wangu utaiskia tu bora nife bila chanjo kuliko kufa na chanjo izo.
 
Mama yangu kashindwa kuchanja kwa kuwa hayuko kundi lolote linalostahili. Mazingira anayofanya kazi kuna watu watatu wamepimwa na kukutwa nayo, 2 weeks ago nilikuwa na mmojawapo ya waliokutwa ni +ve naambiwa nisimsogelee nitamwabukiza. Anaogopa corona hatari na anazingatia taratibu ila kaambukizwa na mme wake ambaye kwa sasa amepona.

Niligundua ni wengi sana wanaopata na hawajui mpaka inaisha yenyewe. Hawa waliochanja mapema watafanya mashabiki wa Gwajima wabadili gear angani wakachanje. Chanjo zenyewe hazitoshi
 
Wakuu,

Leo asunuhi nimepata chanjo ya COVID 19 aina ya Johnson & Johnson; single dozi.

Kwakweli najiskia kujiamini sana kwenye vita dhidi ya COVID. Najiona ni mzima zaidi na kama vile hii vita nimeishinda.

Nimepata vi-contraindications kidogo kama vile kichefuchefu, mdomo kuwa mchungu na maumivu ya joints...nilirudi home nikalala 3 hrs.

Hali inaisha na ninaona nakua imara.

Dokta alinielimisha kabla kunichanja akasema hii chanjo ni ya kweli na serikali kupitia wataalam wake imezifanyia "GENOME ANALYSIS" na kubaini ni kweli wanachosema 'wazungu' ndicho kilichomo, na kweli kinatibu. Sikuelewa vizuri masuala ya kitaalam zaidi hayo.

Nilijisemea moyoni: uvumi unasema chanjo itaniua...lakini pia nafajamu corona inaweza kuniua. Nika conclude bora nife kwa chanjo kuliko kwa corona pasipo kupata chanjo.

Error type 1 vs. error type 2
Mimi naona hii ni alama ya MPINGA KRISTO 666.

Wacha waislam wapige, sisi hatumpingi Yesu .
 
Back
Top Bottom