SHEDEDE
JF-Expert Member
- Feb 6, 2021
- 339
- 551
Wakuu,
Leo asunuhi nimepata chanjo ya COVID 19 aina ya Johnson & Johnson; single dozi.
Kwakweli najiskia kujiamini sana kwenye vita dhidi ya Covid-19. Najiona ni mzima zaidi na kama vile hii vita nimeishinda.
Nimepata vi-contraindications kidogo kama vile kichefuchefu, mdomo kuwa mchungu na maumivu ya joints...nilirudi home nikalala 3 hrs.
Hali inaisha na ninaona nakua imara.
Dokta alinielimisha kabla kunichanja akasema hii chanjo ni ya kweli na serikali kupitia wataalam wake imezifanyia "GENOME ANALYSIS" na kubaini ni kweli wanachosema 'wazungu' ndicho kilichomo, na kweli kinatibu. Sikuelewa vizuri masuala ya kitaalam zaidi hayo.
Nilijisemea moyoni: uvumi unasema chanjo itaniua...lakini pia nafajamu corona inaweza kuniua. Nika conclude bora nife kwa chanjo kuliko kwa corona pasipo kupata chanjo.
Error type 1 vs. error type 2
Leo asunuhi nimepata chanjo ya COVID 19 aina ya Johnson & Johnson; single dozi.
Kwakweli najiskia kujiamini sana kwenye vita dhidi ya Covid-19. Najiona ni mzima zaidi na kama vile hii vita nimeishinda.
Nimepata vi-contraindications kidogo kama vile kichefuchefu, mdomo kuwa mchungu na maumivu ya joints...nilirudi home nikalala 3 hrs.
Hali inaisha na ninaona nakua imara.
Dokta alinielimisha kabla kunichanja akasema hii chanjo ni ya kweli na serikali kupitia wataalam wake imezifanyia "GENOME ANALYSIS" na kubaini ni kweli wanachosema 'wazungu' ndicho kilichomo, na kweli kinatibu. Sikuelewa vizuri masuala ya kitaalam zaidi hayo.
Nilijisemea moyoni: uvumi unasema chanjo itaniua...lakini pia nafajamu corona inaweza kuniua. Nika conclude bora nife kwa chanjo kuliko kwa corona pasipo kupata chanjo.
Error type 1 vs. error type 2