gimmy's
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 3,283
- 3,271
Yani Kati ya jambo rahisi sana basi kuwaongoza watanzania,yani tunadanganywa sana na mtu mmoja lakini hatustuki kabisa,kwakweli kati ya mwaka ambao tiliingia mkenge basi 2015.Mkuu unaweza kuthibitisha kuwa watu wanaokufa hapa Tanzania wanakufa na hiyo covid 19 especially kutokea South Africa??
Kama una uthibitisho wowote nauomba tafadhali....