#COVID19 Nimepata Chanjo ya Corona nchini Marekani, puuzeni uzushi

Kwa hiyo sasa hivi hamuogopi tena maambukizi ya corona! Yaani hamna haja ya kutumia barakoa wala kunawa mikono kama njiamojawapo ya kujikinga maambukizi haya ya covid19!?

Nasubiri majibu.
Kwani ukitumia condoam kujikinga na UKIMWI halafu ukaenda hospitali ikatakiwa upewe damu utasema hiyo damu wasiipime UKIMWI kwa sababu umevaa condom?
 
Nimefanikiwa kupata chanjo ya Corona hapa napoishi na kufanya kazi Dallas, Texas. Nimepata dose mbili za sindano kwenye bega ya kwanza tarehe 5 mwezi wa pili na ya pili tarehe 4 mwezi wa tatu. Nimepata chanjo kutoka kampuni ya Moderna. Nilivimba kidogo kwenye bega kwa mara zote lakini sijapata homa kama watu wengine wanapata homa kwenye sindano ya pili.

Chanjo ni muhimu na zinaokoa maisha hasa kwa wale wenye au ambao waliwahi kuwa na pumu, kisukari, wazee, wenye magojwa ya moyo na wamegundua pia wenye type A ya damu nao wanaumwa sana wakipata corona. Asilimia 90% ya watu wakipata hawazidiwi hivyo inawezekana hata wewe umeshapata Corona bila kujua. Lakini baada ya siku 90 unaweza kupata tena na inaweza kuwa mbaya zaidi maana mwili unakuwa hauna nguvu sana. Kwasababu kirusi cha corona kimekaa zaidi ya mwaka kinabadilika ili kiweze kuingia kirahisi kwenye miili yetu hii kitaalamu wanaita variant. Hivyo mpaka sasa kuna variant ya South Africa, England, Brazil na ili ya China. Ya South Africa ndiyo kali kuliko zote na ndiyo imeingia Tanzania kwa sasa na kusababisha watu kufa na kuumwa sana kulinganisha na ile ya mwanzo.

Kwenye kinga kuna kinga nyingi sana cha maana ni upatikanaji, usalama na chanjo kufanya kazi. Kuna vipimo vikubwa viwili vya kuzingatia cha kwanza ni kinga ya chanjo yaani ambayo inazuia mtu kupata Corona lakini cha pili je mtu akipata corona ambaye ana chanjo ataumwa kiasi cha kulazwa au kuzidiwa?. Hii ya south Africa inaonyesha kinga haifanyi kazi vizuri hasa kwa hii chanjo ambayo nchi za Africa inauziwa za Oxford Astrazenica au AZD1222. Hawajatoa data kuonyesha je mtu akiumwa inakuwaje au kinga inakuwaje. Lakini chanjo ya Johnson and Johnson imeonyesha inakinga ya corona ya south Africa kwa asilimia 57% lakini hata ukipata corona ni karibu 100% hautazidiwa. Lakini mpaka sasa HAKUNA MTU ALIYEPATA CHANJO YEYOTE POPOTE NA KUUMWA NA KUZIDIWA KIASI CHA KULAZWA. Hii ina maana gani ni kwamba inawezekana kinga ikawa ndogo lakini watu nhawatapoteza maisha ambao wana chanjo

Tanzania wanaogopa chanjo kama hii niliyopewa kwasababu inatumia technologia ya mRNA ambayo ni ya DNA na wanaogopa eti DNA zetu wazungu watabadilisha. Wakati nimeenda kupata chanjo kulikuwa na wazungu wengi wamepewa chanjo kama yangu sasa sijui hizi habari ni za wapi?!!!. Lakini kuna chanjo ambazo zina technologia kama chanjo za zamani mfano Sputnik V ambayo ni ya Urusi inatumia technologia ya zamani ya chanjo na sasa wamefanya utafiti unaonyesha inakinga aslimia 90%. Lakini hii ina order nyingi hasa huko South America itachukua muda kuipata.

Hivyo ushauri wangu ni kwa serikali kutumia chanjo yeyote kasoro ile ya China ambayo haina data ambazo watu wamezionana kusema zipo sawa. Lakini hii wenzetu wa Kenya, Nigeria, Ghana wamepata chanjo yenyewe inawezekana kinga ni ndogo kwa hii ya south Africa lakini ukipata chanjo corona itakuwa kama mafua ya kawaida haitakuuwa kama sasa hivi. Hivyo nashauri bado ni bora sana kuliko kukaa na kutokufanya maamuzi yeyote. Tukiweza kuweka order hii ya J&J ni zuri kwasababu ni sindano mmoja na inahitaji jokofu la kawaidia kuifadhi.

Tatizo serikali inaweza kusema wataalamu wanachukungaza lakini mpaka sasa hakuna habari yeyote uchunguzi umefika wapi, nani yupo kwenye hiyo team inawezekana ni maneno tu.
serikali inaendelea na utafiti kuhusu hiz chanjo,wewe ulitaka itoe majibu ya haraka haraka bila analysis ya kutosha!? kumbuka haya Mambo sio upatu,ni science inahitaji muda wa kutosha kufanya analysis juu ya hiz chanjo.hatutaki kukimbilia chanjo ambayo bado Ina walakini kwenye ufanisi.hongera kwa kuchanja pia mkuu,Ila reaction na impact ya chanjo sio ya miez 2 au 3,u can't be sure abt the doses u took.
 
Nilisema hivyo hivyo....maumiv ya corona ni habari tofauti...umewah jiskia kujisaidia ukashindwa jisaidia wewe...hata kuoga unashindwa...unalia tu kwa maumivu.mie nimepima had uric acid hakuna...hebu toa domo lako hapa...mpk leo misuli ya miguu na shingo vinapasua...
Dah pole sana. Mungu aendelee Kutunusuru na haya Maradhi mhh inatisha maumivu uliopitia
 
Nauliza hivi kwanini wewe unaona uamuzi ni kuagiza haraka haraka hizo chanjo hali ya kuwa bado zipo kwenye majaribio? kwanini umeng'ang'ania hizo chanjo hali ya kuwa bado hazijajulikana hata madhara yake?
Mataifa yote yanazigombania tena yake yenye akili sisi huku kajamba nani tusijitie wajuwaji
 
Huyu kakariri sayansi ya kwenye kitabu hataki kwenda na wakati.
Tena ni kitabu cha mwalimu wake, tena leo anaanza kumpinga mwalimu wake kisa eti katumia formula ambayo yy haijui!!

Ni bora chanjo ipelekwe kwa ngiri wanaokaa kenya, ug, rwanda na kwingineko!

Na kwamba binadam wa tz sio watu wamchezo mchezo!
Yaani....basi tu!
 
Hili jibu linathibitisha kuwa hizo chanjo hata ninyi mliodungwa mna wasiwasi! Yawezekana ni kwa shinikizo mmedungwa vinginevyo msingekubali! Poleni na mvumilie. Sisi tunawaombea zisiwazuru hizo chanjo! Kwani mkidhulika watengenezaji na wasambazaji wa chanjo hizo hawatahusika kwa namna yoyote ile kisheria.
 
Dah pole sana. Mungu aendelee Kutunusuru na haya Maradhi mhh inatisha maumivu uliopitia
Haielezeki...imenidhalilisha sana..maana hata nguo za muhimu nilishindwa vaa .nikapangiwa sindano za diclofenac ..sisahau akili kuwa za kuruka ruka siwez sahau
 
Mataifa yote yanazigombania tena yake yenye akili sisi huku kajamba nani tusijitie wajuwaji
Sawa ila nachosema mimi kutoharakisha kuagiza hizo chanjo pia ni uamuzi kama ambavyo hao wengine wao wameamua kuharakisha kuagiza hizo chanjo,hapo hakuna mjinga wala mjanja kwa sababu chanjo bado zipo majaribu.

Katika hayo mataifa yenye akili kuna ambayo raia zake wamekufa sana kwa corona na sababu moja wapo ni kwamba tunaambiwa walifanya uzembe wa kuchelewa kuchukua tahadhari mapema.
 
Kuna jamaa alisema unavaa barakoa halafu unang'atwa na mbu!
Asilimia kubwa ya makabila ya tz ni walevi mbwa, kitaifa ndo sekta inayochangia pakubwa kwenye pato la taifa.

Sasa mlevi na barakoa wapi na wapi!?
 
Tena ni kitabu cha mwalimu wake, tena leo anaanza kumpinga mwalimu wake kisa eti katumia formula ambayo yy haijui!!

Ni bora chanjo ipelekwe kwa ngiri wanaokaa kenya, ug, rwanda na kwingineko!

Na kwamba binadam wa tz sio watu wamchezo mchezo!
Yaani....basi tu!
Waswahili walisema, mbio za sakafuni, huishia ukingoni.
 
Hili jibu linathibitisha kuwa hizo chanjo hata ninyi mliodungwa mna wasiwasi! Yawezekana ni kwa shinikizo mmedungwa vinginevyo msingekubali! Poleni na mvumilie. Sisi tunawaombea zisiwazuru hizo chanjo! Kwani mkidhulika watengenezaji na wasambazaji wa chanjo hizo hawatahusika kwa namna yoyote ile kisheria.
Logical non sequitur.

Wasiwasi ni nini? Unaupimaje? Kwani nani alikwambia kuna chanjo iliyo 100% efficient?

Na kama hamna chanjo iliyo 100% efficient, hilo linamaanisha hakuna chanjo inayofaa?

Wewe unapopanda gari unajua kwamba hilo gari halitapata ajali siku hiyo?

Kitu gani kinakufanya ukubali kupanda gari hata kama hujui siku hiyo itaishaje?
 
Mbona kama mnateseka kuhusu sisi na chanjo??

Maisha ni yetu,,afya yetu sasa kipi kinawauma?

Maralia inayomaliza watu africa miaka na miaka mbona wazungu hawajawahi kuona hili ni tatizo kw africa wakalivalia njuga??
Nimefanikiwa kupata chanjo ya Corona hapa napoishi na kufanya kazi Dallas, Texas. Nimepata dose mbili za sindano kwenye bega ya kwanza tarehe 5 mwezi wa pili na ya pili tarehe 4 mwezi wa tatu. Nimepata chanjo kutoka kampuni ya Moderna. Nilivimba kidogo kwenye bega kwa mara zote lakini sijapata homa kama watu wengine wanapata homa kwenye sindano ya pili.

Chanjo ni muhimu na zinaokoa maisha hasa kwa wale wenye au ambao waliwahi kuwa na pumu, kisukari, wazee, wenye magojwa ya moyo na wamegundua pia wenye type A ya damu nao wanaumwa sana wakipata corona. Asilimia 90% ya watu wakipata hawazidiwi hivyo inawezekana hata wewe umeshapata Corona bila kujua. Lakini baada ya siku 90 unaweza kupata tena na inaweza kuwa mbaya zaidi maana mwili unakuwa hauna nguvu sana. Kwasababu kirusi cha corona kimekaa zaidi ya mwaka kinabadilika ili kiweze kuingia kirahisi kwenye miili yetu hii kitaalamu wanaita variant. Hivyo mpaka sasa kuna variant ya South Africa, England, Brazil na ili ya China. Ya South Africa ndiyo kali kuliko zote na ndiyo imeingia Tanzania kwa sasa na kusababisha watu kufa na kuumwa sana kulinganisha na ile ya mwanzo.

Kwenye kinga kuna kinga nyingi sana cha maana ni upatikanaji, usalama na chanjo kufanya kazi. Kuna vipimo vikubwa viwili vya kuzingatia cha kwanza ni kinga ya chanjo yaani ambayo inazuia mtu kupata Corona lakini cha pili je mtu akipata corona ambaye ana chanjo ataumwa kiasi cha kulazwa au kuzidiwa?. Hii ya south Africa inaonyesha kinga haifanyi kazi vizuri hasa kwa hii chanjo ambayo nchi za Africa inauziwa za Oxford Astrazenica au AZD1222. Hawajatoa data kuonyesha je mtu akiumwa inakuwaje au kinga inakuwaje. Lakini chanjo ya Johnson and Johnson imeonyesha inakinga ya corona ya south Africa kwa asilimia 57% lakini hata ukipata corona ni karibu 100% hautazidiwa. Lakini mpaka sasa HAKUNA MTU ALIYEPATA CHANJO YEYOTE POPOTE NA KUUMWA NA KUZIDIWA KIASI CHA KULAZWA. Hii ina maana gani ni kwamba inawezekana kinga ikawa ndogo lakini watu nhawatapoteza maisha ambao wana chanjo

Tanzania wanaogopa chanjo kama hii niliyopewa kwasababu inatumia technologia ya mRNA ambayo ni ya DNA na wanaogopa eti DNA zetu wazungu watabadilisha. Wakati nimeenda kupata chanjo kulikuwa na wazungu wengi wamepewa chanjo kama yangu sasa sijui hizi habari ni za wapi?!!!. Lakini kuna chanjo ambazo zina technologia kama chanjo za zamani mfano Sputnik V ambayo ni ya Urusi inatumia technologia ya zamani ya chanjo na sasa wamefanya utafiti unaonyesha inakinga aslimia 90%. Lakini hii ina order nyingi hasa huko South America itachukua muda kuipata.

Hivyo ushauri wangu ni kwa serikali kutumia chanjo yeyote kasoro ile ya China ambayo haina data ambazo watu wamezionana kusema zipo sawa. Lakini hii wenzetu wa Kenya, Nigeria, Ghana wamepata chanjo yenyewe inawezekana kinga ni ndogo kwa hii ya south Africa lakini ukipata chanjo corona itakuwa kama mafua ya kawaida haitakuuwa kama sasa hivi. Hivyo nashauri bado ni bora sana kuliko kukaa na kutokufanya maamuzi yeyote. Tukiweza kuweka order hii ya J&J ni zuri kwasababu ni sindano mmoja na inahitaji jokofu la kawaidia kuifadhi.

Tatizo serikali inaweza kusema wataalamu wanachukungaza lakini mpaka sasa hakuna habari yeyote uchunguzi umefika wapi, nani yupo kwenye hiyo team inawezekana ni maneno tu.
 
Nikilazimika nitachanja, kama silazimiki sichanji. Simple as that.
Sasa utaipata wapi mjomba au unadhani chanjo inauzwa kama Condom zinavyouzwa huko kwenu Buza kwa Mpalange.. Chanjo inaagiza nchi na Mwenye nchi kasema haleti kwa wala usiahangaike kushupaza shingo. Nyau we
 
Mbona kama mnateseka kuhusu sisi na chanjo??

Maisha ni yetu,,afya yetu sasa kipi kinawauma?

Maralia inayomaliza watu africa miaka na miaka mbona wazungu hawajawahi kuona hili ni tatizo kw africa wakalivalia njuga??
Kwenye sisi kuna wazazi wangu au
 
Mbona kama mnateseka kuhusu sisi na chanjo??

Maisha ni yetu,,afya yetu sasa kipi kinawauma?

Maralia inayomaliza watu africa miaka na miaka mbona wazungu hawajawahi kuona hili ni tatizo kw africa wakalivalia njuga??
Wewe na nani, maisha yenu na nani. Isemee familia yako sisi wengine tunataka. Ujinga na ushamba wenu msitulazimishe wote. Nyau we
 
57 Reactions
Reply
Back
Top Bottom