Nimepata changamoto katika mfumo wa kutuma maombi ya ajira

single father

Member
Oct 22, 2019
77
117
Wandugu walifanikisha 100% kwa upande wa walimu nimekutana na changamoto ya kushindwa kusave machaguo hicho kitufe hakipo msaada tafadhali


Screenshot_20210510-124304_Chrome.jpg
 
Msaada jaman nashindwa kuhamisha nilijikuta imeenda ualimuvwakati mimi nimeomba kada ya afyaa naomba msaada wa kuhamisha haya maombi ya ajira za mei 2021 isomeke Afya sio ualimu
 
Back
Top Bottom