Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,025
- 15,312
Jana nilipata notification kuwa android 9 ipo tayari kwa simu yangu (Samsung galaxy S8) nikaweka kifurushi kisha nikapakua na ku install updats.
Kweli simu ikapanda toka android 8 to 9. Pia features kibao zimebadirika ikiwa muonekano na baadhi ya mipangilio.
Ila kuna features za msingi sana zimekuwa discontinued, hii imeifanya simu kuwa ya upweke sana
Kuna vitu kama mult tasking sivioni kabisa, na pia Navigation buttons hazivutii kabisa.
Home button, back button zimekuwa hivyo. Sio za kubonyeza, unaswipe juu kidogo ndio zinafanya kazi
System Tray imekuwa na mvuto kidogo sio kama ya mara ya kwanza
Pia Dolby atmos imeongezeka na kuleta ubora wa sauti na diferent Reverb venues
Pia notifications bar nayo imekuwa poa sana. Ina match na edge screen
Nitazidi kuleta mrejesho kadili ninavyozidi kuichunguza simu
Kweli simu ikapanda toka android 8 to 9. Pia features kibao zimebadirika ikiwa muonekano na baadhi ya mipangilio.
Ila kuna features za msingi sana zimekuwa discontinued, hii imeifanya simu kuwa ya upweke sana
Kuna vitu kama mult tasking sivioni kabisa, na pia Navigation buttons hazivutii kabisa.
Home button, back button zimekuwa hivyo. Sio za kubonyeza, unaswipe juu kidogo ndio zinafanya kazi
System Tray imekuwa na mvuto kidogo sio kama ya mara ya kwanza
Pia Dolby atmos imeongezeka na kuleta ubora wa sauti na diferent Reverb venues
Pia notifications bar nayo imekuwa poa sana. Ina match na edge screen
Nitazidi kuleta mrejesho kadili ninavyozidi kuichunguza simu