Nimepata ajira ya mshahara wa milioni 1.2, natafuta mke tuanze maisha

Hahahahaha lol! Sina uadui nawe bali tunahitilafiana tu kwenye misimamo yetu kuhusu mwelekeo wa nchi yetu na wakati mwingine jazba huweza panda, lakini siwezi kukuona adui yangu hata kwa sekunde moja.

Mmmmmmmh

Tangu upate bonge la kusifiwa humu na ma babes naona na PM ukaibania eeeeh... Njoo unipe kichapo adui wangu weye
 
Hahahahaha lol! Sina uadui nawe bali tunahitilafiana tu kwenye misimamo yetu kuhusu mwelekeo wa nchi yetu na wakati mwingine jazba huweza panda, lakini siwezi kukuona adui yangu hata kwa sekunde moja.

Awwwwww nashukuru, haya tuzidi kuburudika na misimamo yetu kama kawa. :D
 
  • Thanks
Reactions: BAK
mbwa nyingi humu zakike na kiume zinabrag about kuwa na pesa nyingi zaid sijui salary Mara hiyo ya jamaa ndogo kenge nyie mtu chake, hata muheshimiwa nanii Yule aliwahi ita pesa ya madafu kwake ya mboga tu
alafu Malaya nyingine zinajikooosha tunaona kabsa character zao za uhoe, be humble beeyatch sit down, jamaa kasema anaoa, period kama unavigezo ingia kati ulicheze goma. oya mwanangu Alex oa mzee wanawake wapo kama njugu wengine mpaka wanajichua peke yao. kuna wanawake wanatafuta mwanaume tu wakukaa nae wachilia pesa, na wanavigezo vyote msambwanda, akili, elimu na hawana makuu. geararehia u dadafantaz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umepata kazi tu umeanza kuwaza kuishi na mwanamke? Mbona unakaribisha umasikini kwako? Tena unatafuta wa mitandaoni kabisa?

Tulia,andaa maisha yako mwenyewe. Ukiwa vizuri ndio utafute mke.
COMMENT YA MEMBER FLANI:

mbwa nyingi humu zakike na kiume zinabrag about kuwa na pesa nyingi zaid sijui salary Mara hiyo ya jamaa ndogo kenge nyie mtu chake, hata muheshimiwa nanii Yule aliwahi ita pesa ya madafu kwake ya mboga tu
alafu Malaya nyingine zinajikooosha tunaona kabsa character zao za uhoe, be humble beeyatch sit down, jamaa kasema anaoa, period kama unavigezo ingia kati ulicheze goma. oya mwanangu Alex oa mzee wanawake wapo kama njugu wengine mpaka wanajichua peke yao. kuna wanawake wanatafuta mwanaume tu wakukaa nae wachilia pesa, na wanavigezo vyote msambwanda, akili, elimu na hawana makuu. geararehia u dadafantaz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anaenda kuolewa na huyu bwana ajiandae kisaikolojia kabisaaa mtu wa hvi ana shida sana.
Yaani mtu unatoka tu huko unaanza kutangazia watu eti ooh sijui nalipwa 1.2 mara sijui deal nyingne napata zaid ya hyo sijui nataka nijenge mara nna pikipk ...ooh mara kilipanda kikashuka kikakaa pale sijui ikawaje hakuna mume hapa ...
Sijui kama atapata mke ila wezi atawapata
[HASHTAG]#mtoa[/HASHTAG] mada una asili ya majivuno badilika mwanaume hatakiwi kua hivyo *#

Sent using Jamii Forums mobile app
COOMENT FROM SOMENONE:

mbwa nyingi humu zakike na kiume zinabrag about kuwa na pesa nyingi zaid sijui salary Mara hiyo ya jamaa ndogo kenge nyie mtu chake, hata muheshimiwa nanii Yule aliwahi ita pesa ya madafu kwake ya mboga tu
alafu Malaya nyingine zinajikooosha tunaona kabsa character zao za uhoe, be humble beeyatch sit down, jamaa kasema anaoa, period kama unavigezo ingia kati ulicheze goma. oya mwanangu Alex oa mzee wanawake wapo kama njugu wengine mpaka wanajichua peke yao. kuna wanawake wanatafuta mwanaume tu wakukaa nae wachilia pesa, na wanavigezo vyote msambwanda, akili, elimu na hawana makuu. geararehia u dadafantaz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
COOMENT FROM SOMENONE:

mbwa nyingi humu zakike na kiume zinabrag about kuwa na pesa nyingi zaid sijui salary Mara hiyo ya jamaa ndogo kenge nyie mtu chake, hata muheshimiwa nanii Yule aliwahi ita pesa ya madafu kwake ya mboga tu
alafu Malaya nyingine zinajikooosha tunaona kabsa character zao za uhoe, be humble beeyatch sit down, jamaa kasema anaoa, period kama unavigezo ingia kati ulicheze goma. oya mwanangu Alex oa mzee wanawake wapo kama njugu wengine mpaka wanajichua peke yao. kuna wanawake wanatafuta mwanaume tu wakukaa nae wachilia pesa, na wanavigezo vyote msambwanda, akili, elimu na hawana makuu. geararehia u dadafantaz

Sent using Jamii Forums mobile app
Unatafuta ban ya kijinga sana, pole kwa kujaaliwa kinywa kichafu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnategemea moate hela ndio muoe mnashida sana,hela ina kuja vip kwenye suala la kuoa? Wengine wanaingiza 7000 kwa siku na wameoa na wanawatoto kbsa. Kuwa na hela sio kuoa,kuoa ni nafsi yako ikusukume na uamue.hata kabla ya huo mshahara ulikua unapata huduma zote za muhim so hzo huduma unazigawanya mara mbili ww na mkeo fresh tu maisha yanasonga. Ukisubiri upate hela nying ndo uone aisee utachina,vzr kuanza na mwanamke maisha ya chini huku mskishrikiana kutokana na huo mshahara wako kutoka sehem moja kwenda juu zaid. Anaweza kukusaidia mawazo na akasimamia hata genge mwsho mnatoboa,nyie mnaotka kuoa mpka muwe matajiri mnapataga shida sana kwenye ndoa zenu. Oa muanze maisha pamoja na heshima inakuwepo
Umenena vyema...kingine pesa hazijai hata uzisake vip mwisho wa siku utaona hazitoshi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
joseverest nimekulindia nafasi yako, uje ili tumshauri pamoja


dogo hiyo hela ndogo sana na sana..


gross ya 1.2m net yake ni kama laki 8 na nusu hivi..

tena hapo bodi ya mikopo kama hawakudai.

haya sas tuchekeche laki 8 hiyo ulipe kodi, nauli, msosi, umeme, maji etc..


hiyo hela hapo ni kama unaingiza elfu 27 kwa siku
ambapo hata muuza chips au muosha magari na kindoo tu anakuzidi..

nakushauri swala la kuoa au kuishi na mwanamke weka pembeni kabisa.. fanya saving kisha invest na kuinvest na kuinvest tena.. after 5 yrs ndio usake kimwana..

kipindi hiki tafuta girlfriend tu uwe mnakutana weekend..
Aisee, we jamaa ni genius sana
 
Ni aje makamanda, I hope mko poa.

Mwenzenu nilijaribu maisha baada ya kiajira changu cha kwanza lakini ikabidi nirudi home kwanza nikajipange upya, hatimae nimepata kazi ya mshahara ambayo kwa kuanzia maisha ya kifamilia sio mbaya (1.2M take home), pia nina dili kama 2 hivi zitakazonilipa mara 2 au 3 ya huu mshahara wa kazini baada ya miezi michache. Mpango wangu ni kuchukua double room ya self nzuri mwisho wa mwezi.

Kwahiyo natafuta mchumba/mke tuanze maisha from scratch, yaani kama ni chini tulale coz najua nikishachukua nyumba ntalala chini mwezi mmoja. Nataka mwanamke huyu aje kunisaidia kumanage mambo ya finance na kupangilia mji wetu vizuri, ambae atanisapoti wakati mimi naendelea na mishe zangu.

Sifa zake:
  • Apende kula vizuri. Jamani mimi napenda kula vizuri
  • Ajue kupangilia bajeti na kudili vizuri na pesa
  • Awe anaweza kunishauri
  • Mimi ni mkristo, yeye awe mkristo au muislamu mie fresh tu
  • Awe mweupe, kama sio mweupe basi awe na msambwanda/kalio mubashara, kama nalo hana basi angalau awe amesoma, kama hajasoma basi awe angalau na ajira, kama hana basi kwao wawe vizuri naamini Mungu hamnyimi mtu vyote.
Ni PM tuchat chat ndio tupeane namba, kisha tukutane eneo la wazi k.v. mgahawa n.k.

Dogo, nilianza job na hela zaidi ya hiyo miaka miwili iliyopita..Nikajua itanikuzia profile....aah wapi. Nikuambie hivi, hela sio ishu. Kupata mwanamke was kuishi nae / kuoa ni kazi ngumu sana hapa mjini. Tulia, piga kazi....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom